Home
Unlabelled
wajukuu wa babu njenje
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
asanteni watoto mmependeza na mama yenu pia, lkn hayo maswali nawashauri mumpigie simu babu atawajibu tuu, i hope mna namba yake ya simu, pasaka njema.
ReplyDeleteJamani huyo mama yao ni Nzeba au wamefanana?Mnamjua jina MAMA wa watoto tafadhali tuambiane,kwani tunamtafuta sana ndugu yetu Nzeba,asanteni watu wa blogi hii kwa msaada huu.
ReplyDeleteNaona watoto wametoka na sare sare maua utafikiri wako samvula chole
ReplyDeletehuyo kati babu njenje mtupu!! safi sana matokeo ya dna hayo.
ReplyDeleteso cute
ReplyDeleteAnonymous Sunday, March 23, 2008 7:04:00 PM EAT
ReplyDeleteHuyo mama yao anaitwa LULU, anakaa Brighton ( UK).
NICE PICTURE, CUTE FAMILY
hey, ni furaha kuona watoto wamekuwa, huyo ni lulu mabrouk, wa tanga enzi hizo pale computer place nimesahau jina, sijui wapo nchi gani, lakini hongereni zenu, watoto wamekuwa na wamependeza!!
ReplyDeleteMama Lulu, mambo ya blatchington road hayo, wape hi george street.
ReplyDeleteNa baba wa watoto yuko wapi?chibiriti ngoma nyingine hiyooo...
ReplyDelete