JUST FOR MEN PRODUCTS FROM CANADA AND USA

Tunawataarifu kuwa tuna bidhaa MBALIMBALI za umaridadi za wanaume kwa bei NAFUU KABISA kama vile:
Perfume
Poda za kunyolea (bila kutumia wembe au mashine) hii ni nzuri zaidi kwa wanaotokwa na upele wakinyolea wembe au mashine.
After shave
Deodorants
mojawapo ya deodorants ikiwa ni hiyo inayotangazwa hapa chini:

Kwa maelezo zaidi ya jinsi ya kupata bidhaa hizo hapa Dar wasiliana na
Rose @ 0784-521171

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. Watumiaji wa Old Spice ni maajuza. Lazima uwe umekula chumvi nyingi kama wewe ni mtumiaji wa hii kitu.

    ReplyDelete
  2. Tatizo moja kubwa ni kwamba product nyingi ambazo zinaletwa hapa nyumbani kutoka ulaya ambazo hazikutengenezwa kwa matumizi ya watu weusi inakuwa vigumu kupata matakeo kama yanayo daiwa na mletaji,si hivyo tu jua nalo ni tatizo sana katika vipodozi na ngozi kwa ujumla kitu ambacho waletaji hawa tilii maanani. hivyo waletaji wengi wanaleta product ambazo zinafaa kwa wazungu.
    sikataii kwamba ulaya hakuna product za watu weusi , zipo isipo kuwa lazima uchague sasa iwapo utanunua kwenye clearance una uchota kila kitu..
    mdau

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...