akiwa kacharuka kuendeleza libeneke kwa kutuchambulia mapicha ya muziki na wanamuziki wa enzi hizo, mdau john kitime safari hii katuletea mcharaaza gitaa wa vijana jazz hassan dalali wakati huo bendi hiyo ikienda kwa mtindo wa coca coca. pamoja na muziki dalali alikuwa mpenzi mkubwa wa soka hususan klabu ya simba na si ajabu kwamba hivi sasa yeye ndiye mwenyekiti wa wana msimbazi. asante jfk kwa picha hizi. najua uko mbioni kuanzisha wavuti ya muziki. kaza buti mkuu, tuko pamoja
Home
Unlabelled
hassan dalali
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Mze Kitime tuko nawe katika kuwaenzi wanamuziki wetu wa zamani. Wapi Jaerry nashon, marijani, hamisi Juma wa sikinde, Wema abdallah, michael enock, mze shem karenga, general nguza viking, juma ubao na wengineo wengi tu. Tuna-wamiss saaaana.
ReplyDelete