Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 12 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 15, 2008

    IS THAT(WOMAN PHOTO)FACE OF AFRICA??Mhh!Siku ya leo nilitaka nisitoe comment yoyote lakini ngoja nitoe kilicho moyoni mwangu.Ni kwamba....mm...me....chee....mmm..shaaa.............

    ReplyDelete
  2. AnonymousJune 15, 2008

    Wapi Cynthia Masasi?

    ReplyDelete
  3. AnonymousJune 16, 2008

    mcheck kwenye website yake www.cynthiamasasi.com

    ReplyDelete
  4. AnonymousJune 16, 2008

    Dah ....huyu si alitokeaga kwa michuzi na likofia flani kama mwizi???? Au nimekosea jamani?

    ReplyDelete
  5. AnonymousJune 16, 2008

    halafu huyu demu anapenda sifa nyie hamjamjua

    ReplyDelete
  6. AnonymousJune 16, 2008

    Speech ya Obama inaonyesha jinsi gani huyu jamaa anaconvice wazungu kuwa rais. Sikiliza hapa uone alivyo na kipaji, hata aongeleapo mambo nyeti. ilikuwa leo katika fathers day
    http://cbs2chicago.com/topstories/Apostolic.Church.of.2.748790.html

    ReplyDelete
  7. AnonymousJune 16, 2008

    Wewe anon wa 6 naona bado una fikra za miaka 1930.Hivi mgombea Urais wa marekani huwa ana-convince wazungu tu ama wananchi wote wa Marekani?
    Kama unavyosema Obama ana-convince wazungu,Je McCain ana-convince kina nani,wazungu wenzake,weusi,walatino,wa-asia ama?
    Acha kelele huu ni uchaguzi ni wa Wamarekani wote si cha mweusi wala mweupe.Kichwa butu wewe.

    ReplyDelete
  8. AnonymousJune 16, 2008

    too much money ....$35????? Na uchumi huu mh!!!!!!

    ReplyDelete
  9. AnonymousJune 16, 2008

    Huyo ni Rachel Temu ndio huyo huyo alitokeaga kwenye Michuzi na kofia.

    ReplyDelete
  10. AnonymousJune 17, 2008

    Comment nyingine mbona huweki? Cynthia Masasi unaachia watu waweke comments wanavyotaka, huyu mbona huruhusu ziwekwe?

    Au mnapeana?

    ReplyDelete
  11. AnonymousJune 17, 2008

    We Mbigiri, kabla ya kumfokea anoni aliyetupa hiyo link na yenye hamasa kama za Nyerere ukimsikiliza Obama usikurupuke tu. ijue historia ya Marekani ndio uropoke. Uchaguzi wa Marekani ni mpaka mgombea mweusi kama Obama akubalike kwa Wazungu ndio ashinde. Hata kama weusi wote watampigia kura ni kazi bure. Ndio maana raisi mweusi Marekani hajatokea hata leo. Kamuulize Jesse jackson. Unahitaji kugangamala haswa ili ukubalike na weupe. uchaguzi wa Marekani unaendana na influence ya makundi. Hilo linajulikana na ndio maana kuna makundi kama kaukusis yanawekwa, na pia wayahudi na waongeao kispanish. Kila mtu ana point humu, kukandya kama vile msimamo wako pekee ndo sawa na tena si kwa nguvu ya hoja bali matusi ni kutopevuka kiakili. Jifunze kueleza nguvu za hoja. Kichwa butu we.

    ReplyDelete
  12. AnonymousJune 17, 2008

    Mbigiri angalia video kwenye hii link y OBAMA AHEAD IN EARLY POLLS, uone jinsi wenyewe wamarekani wanavyoonyesha polls kwa makundi, mfano WANAWAKE WEUPE, WAZEE WEUPE, VIJANA WEUSI. Siasa za Marekani si kama TZ kichwa butu we.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...