Miss Dar City Center Sylvia Mashuda (katikati), mshindi wa pili Nelly Kamwelu (kulia) ambaye ni Miss Daily News, na wa tatu ni AnaJacqueline Jonathan baada ya kutangazwa katika shindano lililofanyika kwenye ukumbi wa Cine Club Dar es Salaam mwishoni mwa wiki
miss dar city centre 2008 sylvia mashuda akiwa na mama wa mitindo asia idarous na wadau wengine baada ya shindano hilo la kukata na shoka. ikumbukwe miss tz 2008 richa adhia alitoka kitongoji hiki na waandaaji wa hafla hii wana imani mshindi wao kufika mbali kwenye miss tz
meneja wa matangazo wa daily news na habari leo, felix mushi, na wasaidizi wake wakimkabidhi nelly kimwelu mfano wa hundi ya shilingi milioni moja ambayo ni zawadi yake kwa kwa kuibuka mshindi wa tuzo ya balozi wa tanzania standard newspapers (tsn) ambao walikuwa moja ya wadhamini wa miss dar city centre. kwa habari kamili bofya hapa

hongera sylvia majaji wamefanya kazi nzuri.....ushauri wa bure kuwa miss sio sababu ya kutumika kama mamiss wengine wanavyofanya! you're young and beautiful focus on your goal....you know what i mean.......au vipi wadau!!!!!!!
ReplyDeletehabari michuzi,hivi huyo rashida wanjara achoki kuwa mpambe ehh kajiishia huyo dada pumzika tafuta mume akuweke ndanii ehh ehhh inakeraa
ReplyDeleteana jacquline i know her very well..hongera galfriend
ReplyDelete