Semina za Maendeleo na Jinsia
Unakaribishwa wiki hii katika mfululizo wa semina za Jinsia na Maendeleo (GDSS) ambapo Muhidini Issa Michuzi atatoa mada(Iliyokuwa ifanyike 28/05/2008) kuhusu;
UMUHIMU WA MITANDAO YA INTERNET KATIKA KUENDELEZA UANAHARAKATI NA UHAMSISHAJI WA MAWASILIANO!
Tarehe: 11/06/ 2008
Muda: 9:00 alasiri - 11:00 Jioni
Mahali: Viwanja vya TGNP mkabala na Chuo cha Usafirishaji.
Tafadhali thibitisha ushiriki wako kupitia
info@tgnp.org
Working Towards A Transformative Feminist and empowered Society where there is social gender equality, equity and economic justice
Karibuni Wote !!!!!!
Unakaribishwa wiki hii katika mfululizo wa semina za Jinsia na Maendeleo (GDSS) ambapo Muhidini Issa Michuzi atatoa mada(Iliyokuwa ifanyike 28/05/2008) kuhusu;
UMUHIMU WA MITANDAO YA INTERNET KATIKA KUENDELEZA UANAHARAKATI NA UHAMSISHAJI WA MAWASILIANO!
Tarehe: 11/06/ 2008
Muda: 9:00 alasiri - 11:00 Jioni
Mahali: Viwanja vya TGNP mkabala na Chuo cha Usafirishaji.
Tafadhali thibitisha ushiriki wako kupitia
info@tgnp.org
Working Towards A Transformative Feminist and empowered Society where there is social gender equality, equity and economic justice
Karibuni Wote !!!!!!
Kaka Michu hiyo ndiyo njia ya kuanza kupanda ngazi. Unaanza kutoa mada, wakiona mkali utasikia umeteuliwa na labda ile ndoto ya Aprili First itakuwa ya kweli. Mungu akubariki.
ReplyDeleteHapa Michuuz lazima uruke na PhD ya Blogging!Wait a minute,ngoja nizungumze na Uongozi wa TGNP mimi mwenyewe binafsi personally!You seeeee!Hii Bongo bwana.Tuelezeni Chai na Sambusa zitakuwepo wakati wa Break?Baelezee Konoooz ni mbinu tu ya Public Relations!
ReplyDelete