RAIS wa Shirikisho la ngumi za ridhaa nchini Alhaji Shaaban Mintanga (pichani) anashikiliwa na Polisi katika kituo cha barabara ya Kilwa jijini Dar es Salaam kwa mahojiano akihusishwa na sakata la kukamatwa mabondia na watu wanadaiwa kuwa mabondia wa timu ya taifa nchini Mauritius katikati ya Juni mwaka huu wakiwa na madawa ya kulevya aina ya Heroine yenye thamani ya mamilioni ya shilingi.

Imeelezwa kuwa mahojiano hayo yanahusisha na mipango yake kuhusu usafiri uliohusisha watu hao. Kwa habari hizi na nyingine bofya hapa

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...