wadau wa ughaibuni wakifurahia sabasaba hapa dar usiku huu maeneo ya nanihii...


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 15 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 07, 2008

    Ok Fellas, looking great! representing, by the way what joint was that?

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 07, 2008

    Hello Bremer ..umerudi bongo kuoa nini naona una totoz mbichi zimekuzunguka ...
    Its me Old friend of Bunge primary school ...Seven C ...
    Big group Aboo , Khadija , Lulu , Amani Mlaki, Bingi , Allen , Mark , Josiah Malonga ,Grace Mwanga ...keep it bro. we are all cheering for you . huyo alivaa Batick ni dogo au ... cheers !

    ReplyDelete
  3. AnonymousJuly 07, 2008

    Frank Kambira punguza bia na chicken skin. Ona ulivokuwa mnono na apo uko under 30yrs! ukifika 40 utakuwa mbabu! i used to like u when ulipokuwa portable, sasa ivi mvuto utapotea.

    ReplyDelete
  4. AnonymousJuly 07, 2008

    Jamani huyu kaka wa kwanza mwenye tshirt ya brown ana smile nzuri plus cute dimples ningependa kujua anaitwa nani.
    Msinibanie nahitaji jina tu.
    Baby Doll.

    ReplyDelete
  5. AnonymousJuly 07, 2008

    Yeah michuzi hawa angalau wanaonekana wa ughaibuni siyo wale wengine ulikuwa unaweka machovu kama nini.. lakini any way ughaibuni ni mpangilio tu wa maisha ...una weza kuwa ughaibuni ukawa mchovu vile vile...

    ReplyDelete
  6. AnonymousJuly 08, 2008

    Woooooooowww!!. Ka'misupu snepu imetulia. I really like the guy with a brown t-shirt next to the one with t-shirt ya batiki. I would love to get his number (teh! teh! teh!) He is really attractive. people,Bongo guys are cute, aren't they?

    ReplyDelete
  7. AnonymousJuly 08, 2008

    Hawakuja Bongo kwa sabasaba ila ndio kipindi cha likizo huku ughaibuni.
    Hata mimi Ijumaa nitakua Bongo.

    Mbali ya hayo mbona hao wadada kama wako kwenye kitchen party.

    Msambaa

    ReplyDelete
  8. AnonymousJuly 08, 2008

    by the way hawa jamaa wawili nawadai hivyo tanueni lakini mkirudi tu naisubiri fweza yangu.

    ReplyDelete
  9. AnonymousJuly 08, 2008

    Huyu kaka anaitwa Frank Kambira alikuwa anaishi Changanyikeni.kwao wako watatu! kaka peke yake two sisters. Mpende tu apa online! ana wake ampendae, ila hujakosea sana, yeye ni mzuri kuliko dada zake, imagine. He is cute na hana meno ya kichaga kama sisy's wake.

    ReplyDelete
  10. AnonymousJuly 08, 2008

    Bongo ukitaka ujulikane uko Ughaibuni lazima uwe umechana,vinginevyo hakieleweki.Ukiwa Dar Tanzania yetu mambo safi lazima uwe na Ndambi,watoto wadogo acheni kufagilia matumbo na afya mbovu fanyeni mazoezi.Shavu hinha kumbe ndani hoi

    ReplyDelete
  11. AnonymousJuly 08, 2008

    Hizi jamaa kweli zinaishi Ulaya?Waliuvyojianika utafikirikiri kweli wamependeza kumbe wanaonekana kama doles,unene mwiiingi na glasses kama wazee.jamani vijana wadogo tuelimike.

    ReplyDelete
  12. AnonymousJuly 08, 2008

    Ughaibuni kitumbo kitakutoka tu sababu upungufu wa physical activities kama kutembea. Pia kuokana na majukumu shule au kazi muda wa kupika hakuna hivyo utajikuta sometimes unakula hambaga kwenye fastfood. Mamtoni kwa umbo kijana wa mika 25 anaonekana 40 bongo lakini ukiangalia zaidi kwenye uchakavu especially sehemu za uso mtu wa miaka 20 bongo mamtoni anakuwa 50!
    Hawa ni wazawa wa kawaida kabisa mmojawapo namfahamu mtu poa tu so wacha wafurahie maisha.

    ReplyDelete
  13. AnonymousJuly 08, 2008

    Asante kwa whoever answer my question, of course I know as handsome as he is,he has a girl besides him.I was just satisty my curiosity, which you help me do.
    Cheers, Chaggalady.

    ReplyDelete
  14. AnonymousJuly 09, 2008

    Acha visingizio vya shule na kazi nakukosa shughuli za kijamii,fast food hizo kuingia rahisi kuzitoa shughuli hakuna raha ya kufurahia maisha wakati unaumwa.Vijana wa leo mnadanganyana kwamba mambo safi kwasababu mshikaji ana tumbo na shavu za hamira,akiwa I.C.U mnakutana nje na kuelezana Duh mwanangu hii noma mazoezi muhimu sio utani.Mimi naanza kesho asubuhi,siku mbili tatu mazoezi kitu gani,Ulabu,mkate na nyama,A.C ya Kumwaga,ukituma picha Afrika roho kwatu,fanyeni hata mazoezi ya tumbo Apt zina sehemu ya mazoezi Dakika 15 zinakutoa.Poleni sana

    ReplyDelete
  15. AnonymousJuly 09, 2008

    Chei chei uncle Abe Salam toka kwa mwanao ERICA je wamkumbuka UK.Anakutakia likizizo njema na furaha tele. Mpe hi wajina wake ambae ni mamako bila kumsahau babake Jeff

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...