Yanga imechapwa 1-0 na tusker toka kwa watani wetu wa jadi katika nusu fainali kali ya pili iliyomalizika sasa hivi katika neshno jipya.
yanga wanaungana na watani wao wa jadi simba waliochapwa kamoja na ugandeaa revenue authority (ura) ya ukweni jana.
kwa maana hiyo timu zote za bongo zimetupwa nje ya kombe laa kagame cup, ambapo fainali itayochezwa jumapili itakuwa kati ya tusker na watoza kodi ura.
simba na yanga watacheza mchana kuwania nafasi ya tatu.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 25, 2008

    Mbona tarehe ya jana au ulikuwa mlingotini kwa hiyo ulikuwa unajua matokeo.Pole.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...