mipango inafanywa na mwajiri wake tanzania standard newsapers mgonjwa apelekwe nje ya nchi kwa matibabu zaidi, na endapo madaktari wanaomtibu wataafiki safari hiyo inaweza kuwa wakati wowote kuanzia kesho. kampuni ya vodacom imeeleza nia yake ya kusaidia gharama za safari hiyo, kwa mujibu wa mkuu wa kitengo cha uhusiano, mwamvita makamba.
globu hii ya jamii kwa niaba ya wadau wake wote inamtakia mpiganaji athumani hamisi nafuu ya haraka


Tunamwombea kwa Mungu Athumani matibabu mema apone na arudi salama ofisini aendelee kuchapa kazi kama ilivyokua siku zote.
ReplyDeleteWanablog tumuombee mwenzetu apone haraka.
Our Prayers are with You,
Jiang & Sixtus.
Tunashukuru kwa taarifa. Ninamwombea apate nafuu mapema. Nimefurahishwa na moyo wa TSN wa kujali wafanyakazi wake.
ReplyDeleteMdau
http://drfaustine.blogspot.com/
Hivi Tanzania hatuna Patient Right kama Privacy? Maanake mwenyewe hajitambui na sidhani kama yeye au familia yake iliidhinisha hizi picha. Katika nchi za wenzetu watu wanakuwaga matajiri kwani wata-SUE hospitali na waliomuanika hewani bila idhini yake. Sidhani kama angependa dunia imuone katika hali hii. Anyway I wish him a quick recovery Mungu amsaidie aweze kupona haraka.
ReplyDeleteMungu amsaidie apate nafuu ya haraka na kurejea kazini. Naomba kuliza swali hivi huyu mbali na kuwa mpiga picha (mwanahabari) ni mpiganaji wa nini?
ReplyDeleteWadau tunamuomba mwenyezi Mungu amsaidie Mpiganaji apate wadhili haraka ili apatiwe matibabu apone Sie tupo pamoja nae kwa Maombi Ishaallah atamsaidia atpona na kurudi nyumbani salama
ReplyDeleteMungu akusaidie upone haraka ili urejee kulijenga taifa letu
ReplyDeleteKama kawaida mwandishi kachukulia kuwa kila anayesoma taarifa hii anajua kilichomtokea mwenzetu huyu. Binafsi sijui. Kapigwa na majambazi? Kapata ajali ya gari? Kaanguka? Kwa nini usiwekwe hata mstari mmoja kuelezea kiini?
ReplyDeletewishing you a quick recovery kaka Athumani!
ReplyDeleteTunamuombea kwa mwenyenzi Mungu.
ReplyDeleteWewe al Musoma kama husomi kila siku humu basi usikurupuke tu nakulaumu...Follow up na past topic utaelewa what happened to this guy
kaka athuman mm naamini mungu anakupenda sana tena anampango na maisha yako hivyo sisi tunakuombea uzima upone. Mungu bni mwema sana.
ReplyDeletewishing you quick recovery bother Athuman. kuwa na imani utapona
Pole sana kaka,you will be ohk.we lav u
ReplyDelete