
BAADA YA MAKAMUZI YA SHOO MBALIMBALI NDANI YA UK MR BLUE AMALIZIA HASIRA ZAKE KWA SHOO YA MWISHO NA BONGODJS KABLA YA KURUDI TZ WAKAZI WA READING SLOUGH OXFORD NA SWINDON
JUMAMOSI HII
06/O9/08
NDANI YA READING
KINGS TAVERN
OPPSITE TVU,
KINGS RD RG1 4JL
SHOO YA NGUVU WOTE NNAKARIBISHWA
KUANZIA 10.00PM MPAKA ASUBUHI


Hivi hao wabongo wa Reading wao hawakuhuona mwezi?
ReplyDeleteHAWAKUONA WALIONA MWAKA.....DINI YAKO ISITUKOSESHE SI WENGINE STAREHE. UK SIO OMAN
ReplyDeletetena dj wao muislam kabisa
ReplyDeletekwani kila mtu mwislamu hapa uk we vipi, na sio lazima otoe comment kwa kila kitu
ReplyDeleteHiyo Asubuhi ya Hapo Reading manake 0300Hours..
ReplyDeleteAh mwezi mtukufu huu wa ramadhan anapiga show ? Kwanza hivi huyu mtoto bado anaimba tuu? I thought his career was over he never had a hit besides "Najua nakumiss" or whatever.
ReplyDeletePEOPLE TRY A LITTLE BIT OF THINKING B4 WRITING PUMBA IN A PUBLIC SITE! C WENGINE WALOKOLE MNATUAMBIA HABARI ZA MWEZI!AHHA!
ReplyDeletetatizo letu sisi wabeba box akili zipo ktk pesa mungu tunamsahau, mpaka tukifa ndio tunajazana kanisani kumuomba mungu kama vile msiba uliopita pale Reading, Kumbukeni nyie maDj ni watu na mmeumbwa na Allah basi jaribuni kuheshimu hata Mwezi wa Ramadhani.
ReplyDeleteHata hivyo Blu sasa hivi ana jipya, akipiga show maisha club ali kiba akapiga leaders club hawezi kupata vichwa.
ReplyDeletena hako kamr.blue na kaustaadhat. bora kaimbe kaswida mziki umemshinda, hajui kuperform live. amuombe ushauri ali kiba
ReplyDeleteAjira kwa watoto jamani haka katoto mama yake amekubali kaache shule ili apate kula
ReplyDeletejamani huyu blue yeye ana dini gani mwezi huu watu wanaomba toba yeye kaingia uk kuja kutafuta midhambi katika mwezi mtukufu wa ramadhan tena mpaka asubuhi klama kasimama siku kucha kuomba duwa duh hlf waislam kibao rading na slough wanakula hakuna dini hapa wanazinguwa tu
ReplyDelete