

Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Mbona mkataba anasaini dada peke yake? kawaida zinakuwa kopi mbili halafu wanabadilishana. Halafu huyo wa kulia na kushoto mbona wanamshangaa binti kati kati, hiyo event kabla ya kuita waandishi na kuipublish inabidi wajiandae vizuri, binti amepozi vizuri, lakini hao wawili kwa kawaida mikono ilitakiwa ikae mezani na tabasamu walau kidogo!!
ReplyDeleteUkion hivyo ujua kuna ufisadi umefanyika
ReplyDeleteWazungu kupenda kupeana. Hmmm. Hivi lini na sisi waswahili tutapendeleana na kupeana ma tender. Kazi kupigana vita tu. Ona sasa, tangu NBC iuzwe kwa ABSA, tender zote zinaenda kwa wazungu wenzao. Jamani...
ReplyDeleteWa South Africa kuwapa tenda wa South Africa, SIKU MOJA TUTACHOKA!!!!!!!!!!
ReplyDeleteTanzania tutaendelea kuwa masikini iwapo tutaendelea kuwa na viongozi wenye utaahira wa kifisadi.
ReplyDelete