(YESU NI YEYE YULE, JANA, LEO NA HATA MILELE)
Jumapili, 26 October at 14.30
Tunafurahi kuwakaribisha kwenye Ibada ya Kiswahili, itakayoongozwa na Mchungaji Tumaini Kallaghe, kutoka Ibada ya Kiswahili (St. Anne church) London akishirikiana na Ev. Felix Kallaghe na Moses Shonga
Njoo tumwabudu Mungu katika Roho na Kweli, mapambio na nyimbo mbali mbali.
Wagonjwa na wenye shida mbali mbali wataombewa.
Baada ya ibada tutashirikiana kwa vinywaji na vitafunio.
Watu wa madhehebu yote mnakaribishwa.
Ibada hiyo itafanyika:-
Hexham Community Centre
1a Bamburg Close, Whitley
Reading, RG1 7UD
www.stanneslutheranchurch.org
020 7606 4986 or
For information:
Baada ya ibada tutashirikiana kwa vinywaji na vitafunio.
Watu wa madhehebu yote mnakaribishwa.
Ibada hiyo itafanyika:-
Hexham Community Centre
1a Bamburg Close, Whitley
Reading, RG1 7UD
www.stanneslutheranchurch.org
020 7606 4986 or
For information:
mubarikiwe kwa huduma hii nzuri,na ujumbe ambao woote tunaupata kupitia blogu hii
ReplyDelete