

Habari ya leo Bro. Michuzi,
Nimekuta hii sehemu nikaamua nikutumie kwa ajili ya blog yetu ya jamii. Kama ni kweli au la, sifahamu lakini ni idea nzuri. :)
Mdau.
Microsoft Bus In one of the Asian countries
Microsoft recently started bus service for employees at Bangalore. Employees can start work from the bus itself and their office hours counts from the time they start work in the bus.
Same way total working hours of the day calculate based on at what time they stopped work in the bus. Traffic jam is quite normal and company does not want to waste the time of the employees in roads.
The idea was proposed by an employee through their suggestion scheme and readily accepted by the Management.
The idea was proposed by an employee through their suggestion scheme and readily accepted by the Management.
That's so cool!!
ReplyDeletewokin flat ou. aats waam tokin bwt.
ReplyDeletewatakufa kwa stress, maana kuwa na wireless laptops na mobile inatosha kuua mfanyakazi, sasa na 'desk' kwenye basi sasa hii kali.
ReplyDeletebright idea, I think given similar problem in most major cities it is ideal to go this way, however in instances of single car users like a case with my company the idea has to be redeveloped.
ReplyDeleteNi kweli mdau wala usifikiri miujiza nimeyaona mwenyewe ufini tangu 2001. Habari na picha zake utazipata kwenye link hiyo na mdau Edwin Ndaki anaweza kukuletea more info.
ReplyDeletehttp://www.tampere.fi/kirjasto/nettinysse/english.htm
HII NDIO SAYANSI NA TEKI LINALOKUJIA HATA KWENYE DALADALA TUNAKULA NET NAOMBA IJE MAPEMA BONGO.VIBAKA HAPO SIJUI ITAKUWAJE NA MAWE AMBAO HAYALIPI NAULI PATACHIMBIKA.
ReplyDeleteThat is no so cool, is just SLAVERY and CAPITALISM, they are just after making profit not staff's welfare, this must stop, kitu kama hicho hakiwezi kufanywa Western Countries kitapigwa marufuku, huo ni utumwa wa kisasa. If YOU WORK IN A SUCH FIRM THEN EXPECT TO DIE VERY SOON.
ReplyDeleteNafikiri kama hizo kazi wanazofanya hazihitaji kuwa ofisi basi wanaweza wakazifanyia nyumbani (Labda nchi za asia ni maskini sana) ila huku states unafanya kaZI ZAKON nyumbani huna haja ya kuwa physical at work! Mimi nafikiri hiyo tech ni nzuri for pleasure tu na sio kigezo kwamba mfanyakazi yuko kazini
ReplyDeletethank you so much for this piece of information, i am so pleased to see how Tanzanians are becoming up to date! it is lovely for one to share something unique as this. the question behind should be does it stimulate us for the better? let me share something with you fellow Tanzanians, the success of microsoft has been greatly atributed by the fact of taking human weakness behaviour and manipulate it for the better, this means that the management of microsoft organisation, entertains what people like, may it be eating, playing sports, talking and so forth, it creates an environment that supports your natural behaviour whilst focusing on you task, and hence employees are not at all stressed with work, but instead are more intrested to wake up into another day and face work, and thus the prosperity of microsoft, t
ReplyDeletethat is what we aught to learn and try to improve our mother land TANZANIA.