Home
Unlabelled
ziarani magu
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
mbona umechoka sana balozi wa nanihiiii??kweli magu pazuri??????
ReplyDeleteMshirika,
ReplyDeleteMbona umeficha kwa mgongo jina la guest uliyofikia au ni kwa sababu ya maadili? maana ulijitetea mwanzo kuwa si vakesheni..poa
Mshirika,
ReplyDeleteMbona umeficha kwa mgongo jina la guest uliyofikia au ni kwa sababu ya maadili? maana ulijitetea mwanzo kuwa si vakesheni..poa
Huko wacha muheshimiwa balozi akusifie, kwani kuna mitoto yakisukuma yenye mahips na maguu, na sasa hivi wanavyochanganya damu na watusi ndio balaa huko usukumani linazidi kuongezeka. haya muheshimiwa balozi kula raha, maziwa na samaki waliomfanya baba yake obama awe na akili.
ReplyDeleteMISUPU YAANI SIKU MOJA TU UMECHOKA HIVYO? HEBU KUNYWA MAZIWA KWA WINGI NI KAMA BURE NGOZI IREKEBISHIKE, SASA NDIO WASHENGA,KIKAZI AU
ReplyDeleteFulanazzzzz.......Mkuu huko ndo kwenyewe.
ReplyDeleteBalimi oyee, kachupa ka nyumpani.... bagishage ..
ReplyDeleteVipi Chuuzi,samaki unapendelea Kichwa au Mkia?Kiwiliwili wengine hawapendi inakuwaje?Pima uzito wako kabisa.Hadi utakapo ondoka Mzee kilo zishaongezeka tena.Labda Ligwaride likizidi haaaaapo itakuwa taaabu kabisa,Mwanza hiyo Mzee!Utaulizwa unataka Kichwa au Mkia!Sijui utajibuje watu wa pwani nyie!
ReplyDeleteVipi Chuuzi,samaki unapendelea Kichwa au Mkia?Kiwiliwili wengine hawapendi inakuwaje?Pima uzito wako kabisa.Hadi utakapo ondoka Mzee kilo zishaongezeka tena.Labda Ligwaride likizidi haaaaapo itakuwa taaabu kabisa,Mwanza hiyo Mzee!Utaulizwa unataka Kichwa au Mkia!Sijui utajibuje watu wa pwani nyie!
ReplyDeleteNafikiri mwatex na Mutex zimefungwa. Pamba haina mteja. jua kali mpaka nyasi zimekimbia. sasa Magu pamechoka! Mwambieni mbunge wenu hawatafutie at least pembejeo za kisasa za kilimo (kilimo cha umwagiliaji). na hapo Remmy atapaimba sana. Usipambe sehemu chovu. kuwa mkweli na hapo blog itapambika.
ReplyDeletehivi kwanini balozi sijawahi kukuona umepiga picha ukiwa msikitini au ukienda, hata iddi? kila siku ofisi za kilaji tu?! angalia ndugu umri unakwenda, usije kusema "YAALAITANI KUNTU TURABA"
ReplyDeleteeeh bwana mkuu wa wilaya ya nyumbani naoa Uaraza umeanza wakati bado u young.Nadhani hayo makuku ya madawa mnayoyala yanaanza kutowa effects zake.
ReplyDeletewe acha mchezo mwanza booomba au sio kaka michuzi eeeeeeeehhh!
ReplyDeletehahahaaaaaa hehehehehe
ReplyDeleteyan michu umeshidnikana ktk kila engo,,kijana hukui???
"uziri wake ni nini" fafanua alaaa
MGANGA MPYA KAPATIKANA MWANZA SIO
ReplyDelete