mdau emmanuel evans kasembe wa okinawa pharmacy ya dar na mai waifu wake anne israel kiyame mara baada ya kumeremeta katika kanisa la pentekoste la mtaa wa lindi, dar, na kisha kweny mnuso mmoja wa nguvu kule mgulani jkt ukumbi wa makuti hall. anne ni mwanafunzi wa mwaka wa tatu chuo kikuu cya university of dar es salaam akisaka nondozzz ya BA Education
mdau emmanuel evans kasembe wa okinawa pharmacy ya dar na mai waifu wake anne israel kiyame mara baada ya kumeremeta katika kanisa la pentekoste la mtaa wa lindi, dar, na kisha kweny mnuso mmoja wa nguvu kule mgulani jkt ukumbi wa makuti hall. anne ni mwanafunzi wa mwaka wa tatu chuo kikuu cya university of dar es salaam akisaka nondozzz ya BA Education

wamependeza, but thats my kind of woman. umembembesha mumeo maua!!!Next thing, mwambie akubebee handbag.
ReplyDeletekumbe m/me akibeba maua inanoga?ha ha
ReplyDeleteDu jamaa kachemsha,lakini ndio hivyo kidogokidogo anaanza kufua nguo,kuosha vyombo na mama analala kitandani kupumzika hahaha ehehehe.
ReplyDeleteHongereeni sana maharusi.Msijali hizo comments za juu.Sisi ambao tumo kwenye ndoa tunawasaidia wake zetu.Usipanic bwana harusi hao ni vijana wanataka kukuchanganya.Unaweza kumnyoshea mkeo nguo,kumsaidia kubeba mtoto hata kama mpo barabarani.Hakuna tatizo lolote.
ReplyDeletechuo kikuu cha university od dar,,michuzi bwanaaa.
ReplyDeletedada umependeza sana sana nilijua tu mtakua wapendwa yan ni wachache sana siku izi sio ivo km nyie!!
nilijua utakua BA education unaonekana tu ni mwl mwema.
annons mnaoshangaa ati mwanaume afue,aoshe nk kwani kabla hajaoa nani alikua anamfanyia?akifanya anapunguza uanaume wake au?
mna matatizo sana nyie watu,shezni kweli