Leo siku ya Jumapili kuanzia majira ya saa saba za mchana (EST) sawa na saa tatu za usiku (Saa za Afrika ya Mashariki) tunatarajia kuwa na mahojiano na Dr. Harrison Mwakyembe Mbunge wa Kyela na aliyekuwa Mwenyekiti wa Kamati Teule ya Bunge iliyochunguza kampuni ya Richmond.
Ni matokeo ya Kamati hiyo ndiyo yaliyosababisha aliyekuwa Waziri Mkuu Mhe. Edward Lowassa kujiuzulu na hatimaye Baraza la Mawaziri kuvunjika. Tutatungumza na Dr. Mwakyembe karibu mwaka mmoja kamili tangu matukio yale ya Februari 2008, matukio ambayo yalikuwa ni ya kihistoria.
Tutazungumza naye pia mambo mengine ya kitaifa saa na wakati huu ambapo Taifa letu linapitia katika mabadiliko makubwa ya kifikra.Utaweza kusikiliza mahojitano yetu kupitia tovuti yako hii "live".
Title: KLH News Episode: Exclusive:
Mahojiano na Dr. Mwakyembe
entry/2009-01-24T16_57_16-08_00
Enjoy!
US BLOGGER UJUMBE WAKO
ReplyDeleteyOU KNOW THAT UR A TRAITOR, U HAVE NO LOVE FORMYOUR COUNTRY. UR SOME OF THE PEOPLE WHO NEEDS TO BE EXECUTED KWA KUIUA UZALENDOO.
LAKINI KWA BAHATI NZURI TUTAKUANDIKIA KUMSHUKURU BOSI WAKO KWA TABIA ZAKO NZURI ILI UANZE KUTAFUTA KAZI NYIGINE KWA SABABU KAZI YAKO YA SASA UMEITUMIA VIBAYA NA INABIDI UTAUTE NYINGINE HASA VITU UNAVYOANDIKA KWENYE INTERNET
nikikuandikia hapo chini nitakupata ili unisaidie Zaidi?
US Anonymous Blogger?
1020 Chandler Ridge Drive,
Lawrenceville GA 30045
Phone: 404 663 5050
Next---- NAME !!!!!
Keep on, and you are going to see the name.
I hope this is going to be a fair game. Do unto others what you ...