Kaka Michu
Za leo? Shukrani kwa kuendeleza libeneke na ze fulanazzzzzzzzz kama kawa.Nina breaking newssss.
Kitabu nimechokuwa nikiandika kwa mda wa mwaka na nusu kimekamilika.
Kitabu kinashughulikia uchambuzi wa manovo za mwandishi wa kihindi aliyelelewa Dar maeneo ya mtaa wa Uhuru Street. Anaitwa Moezi GulamhusseinVassanji. Ni mmoja wa wachache wanaoandika manovo kuhusu Bongo kutumia lugha ya Kiingereza.

Cheki mengi kumhusu hapa.
http://en.wikipedia.org/wiki/M._G._Vassanji
Kichapishe kwenye blogu yetu ya jamii wadau wapate motisha kuchukumanondozz na kuendeleza usomi.
Justus

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Du jamaa angu! We mwenyewe hapo kujieleza tu unachanganya lugha kweli unaweza kuunda point yebye akili ?


    sijui


    mdau

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...