


mengi mengine kuhusu whitecaps
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Huyo beki amekaa mkao wa kupigwa ama kanzu au tobo na Beckham. Hao jamaa wanaweza mpira kweli manake waingereza hawapigi kanzu na matobo.
ReplyDeleteitakuwaje hawa wacheze na timu ya taifa? kwani timu yao pia ni ya taifa?
ReplyDeleteJamani Whitecaps hawako ligi moja na LA Galaxy! Huu ulikuwa mchezo wa exhibition tu, sio wa ligi. Whitecaps wako "daraja la pili". Tusiwapotoshe wadau jamani.
ReplyDeletemchangiaji wa pili good point tena hii timu wala sio kubwa iko katika daraja la pili.
ReplyDelete.....kutalii....wathungu...
ReplyDeletehttp://usl1.uslsoccer.com/hii ni web ya USL FIRST DIVISION
ReplyDeleteAustin Aztex
Charleston Battery
Minnesota Thunder
Montreal Impact
Portland Timbers
Rochester Rhinos Whitecaps
Puerto Rico Islanders
Miami FC Blues
Carolina RailHawks
Cleveland City Stars
Please naomba wapenzi watembele hiyo web
Mpenzi wa mpira