wadau kibao walijitokeza katika msako wa bongo star search tanga wikiendi hii
hawa ndio washindi wanne wa tanga wa BSSVodacom Tanzania pamoja na uongozi mzima wa Bongo Star Search 2009 tunawashukuru wale wote waliojitokeza kujiandikisha na kufanya usaili pale Tanga na tunawatakia kila la kheri kwa wale washindi wane waliofuzu mchujo. Wakazi na wale wote wenye vipaji vya uimbaji kaeni tayari kwani sasa Vodacom Tanzania inahamishia kinyang’anyiro cha Bongo Star Search 2009 mjini Kigoma tarehe 7 na 8 Machi 2009.


Huyu jamaa wa pili kutoka kushoto keshaanza kubinua midomo mapemaaaaaaaaaaaa, yaani utadhani ye ndo mshindi BSS 2009
ReplyDeletehaha kweli huyu dogo wa pili shoto naona kesha jiona bonge la super star huyu hafiki mabali
ReplyDeletesalama hayupo hainogi ata
ReplyDeletewangekuwa pia wanafanya mashindano ya watoto kwenda shule na kufanya vizuri ingekuwa vizuri zadi maana hata kama ukiwa mshindi wa star search kwa nchi yetu mziki haulipi ni bora shule zaidi
ReplyDelete