Home
Unlabelled
JK akutana na Koffi Annana na Dk. Migiro leo
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Aliyeogelea hazami kamwe.
ReplyDeleteHii picha inanikumbusha mambo mengi sana.Maana mwaka 2005 Migiro aliteuliwa na Kikwete kuwa waziri wa mambo ya nje, hivyo Migiro bosi wake akawa Kikwete...ila kwa sasahivi Kikwete ni kijana wa Migiro, hahahaha maana Migiro akifika ikulu kikwete nidham mtindo mmoja.
Mdauziiiii
Huyo Anony wa 1:07 anaesema sasa hivi Migiro ni Bosi wa Kikwete hajui anachoongea.
ReplyDeleteBwana Michuzi hii issue vipi nasikia Mama yetu mwingine ambaye ni mwandamizi hapo UN amepigwa chini eti aidha kwa shinikizo la Wakenya au kutokana na Ka-Ufisadi.
Tena yaelekea Katibu Mkuu wa UN kamuondoa Mama Tibaijuka bila hata ya kumpa barua Rasmi.
Hii inakuwaje hii na Mama Migiro si yupo hapo anasemaje?!.
Pata hii kutoka kwa watani hapo:
http://www.youtube.com/watch?v=CGE7opIBRYs
Ni kweli tume-export Kaufisadi au Njama???!!!
Mzawa
HAPANA KATIBU MKUU UMOJA WA MATAIFA SI BOSS WA MARAIS, KWA NINI NASEMA HIVYO KWA SABABU WANAO MLIPA MSHAHARA NI MICHANGO YA WANACHAMA AMBAO NI NCHI WANACHAMA NA WAKUU WAKE NI MARAIS. HIVYO KIKWETE NI BOSS BADO WA MIGIRO NA KATIBU MKUU.
ReplyDeleteKi-protocal, Katibu Mkuu wa UN (si Naibu Katibu Mkuu) ana hadhi sawa na ya Rais wa nchi.
ReplyDeleteHaya stori hii hapa, na Mama Migiro asiondoke hapo Dar bila kutupatia ufafanuzi la sivyo wewe anti-usenene utakuwa haufai!
ReplyDeletePowerful interests plotted Tibaijuka abrupt removal
Powerful vested interests within the United Nations are suspected to be behind the removal of Mrs Anna Tibaijuka from the helm of the United Nations establishment in Nairobi.
Related Stories
UN littered with failed projects, but few heads roll
It appears that certain people had from the start been uncomfortable with Mrs Tibaijuka’s 2006 appointment to head the United Nations Office in Nairobi (UNON).
“When it became evident that she was to be appointed to the post, they initiated an investigation against her, claiming that she had misused a her official vehicle, and reported the matter to the former UN secretary general, Kofi Annan,” said a UN official who declined to be named, citing the risk to his job.
But Mr Annan ignored the claims as he appointed Mrs Tibaijuka to head UNON until 2010.
A clique of officials who worked under Mrs Tibaijuka at the UNON appear finally to have managed to convince current UN Secretary General Ban Ki-moon that she was to blame for the serious issues documented in an audit report published last year.
Last week, the media carried reports that Mr Ki-moon had appointed the current Director of the United Nations Environment Programme, Achim Steiner, to replace Mrs Tibaijuka at UNON.
The Tanzanian national was appointed by Mr Annan to replace a former head of Unep , Dr Klaus Toepfer, whose term of office ended on March 31, 2006.
Like her replacement, Dr Toepfer is also a German national who had headed the country’s environment ministry before starting his term at Unep.
But according to a long trail of confidential documents made available to The Eastfrican, it would seem Mrs Tibaijuka was penalised over things that happened before she took office at UNON.
There is also evidence that her days were numbered the moment she started questioning serious fraud affecting, among other things, the procurement for the construction of a $25 million project to upgrade the UN headquarters at Gigiri in Nairobi.
Commencing in 2001, UN headquarters in New York had been providing a stream of funds for the job.
However, there appear to have been delays that Mrs Tibaijuka, as the head of UNON, was asked to explain.
“But she did not have an answer because all along, she had been kept in the dark,” said a highly placed source at UNON who did not want to be named.
Related Stories
UN littered with failed projects, but few heads roll
The EastAfrican has also seen documents showing that the director in-charge of UNON’s procurement, Alexander Barabanov, had been reporting directly to an Under-Secretary General at UN Head Office in New York, Angela Kane, a German national.
The same official had formally authorised Mr Barabanov to oversee all financial and procurement services at UNON as per a letter dated May 19, 2005. So, by the time Mrs Tibaijuka assumed headship of UNON, Mr Barabanov had been in charge of procurement for a year.
It appears that immediately Mrs Tibaijuka assumed office, she ordered the audit, which was to cover the period between 2004 and 2006, when UNON was headed by Mr Toepfer. When the report was released on February 28, 2008, it detailed serious fraud.
Conducted by the Office of Internal Oversight Services’ Internal Audit Division, the audit report said UNON could have lost as much as Ksh10 billion ( $130 million) in procurement and administrative irregularities over the period.
The scandal was blamed on employees who were alleged to have had links with companies given contracts by both Unep and UN-Habitat who grossly inflated costs of goods and services procured by the UN body.
The audit report came shortly after the UN headquarters in New York had been told how poor management and inadequate accountability had hampered construction work meant to upgrade the Nairobi Office to the same status as the Geneva and Vienna offices.
The EastAfrican has also seen documents showing that after she received the audit report, Mrs Tibaijuka acted by separating UNON’s procurement arm from its support services. This is contained in an information circular she released on August 4, 2008.
However, the head of pocurement, Vibekke Gravind, reacted by writing to Mr Ki-moon on September, 26, 2008, challenging Mrs Tibaijuka’s decision.
Interestingly, the UN boss did not write formally to Mrs Tibaijuka revoking her 2006 appointment by Annan.
She is said to have learnt about the decision from her successor via e-mail. She thereupon wrote to the Secretary General on February 28 seeking to know her official status.
Upon receiving Tibaijuka’s letter, Mr Ki-moon wrote back the same day confirming that he had indeed replaced her. “I hereby confirm my decision communicated to you (by Steiner)...” Even so, this letter did not outright say whether he had revoked her appointment.
Since the matter came into the limelight, observers have been questioning not just the behaviour of the secretary general, but also the roles that Germany, Russia and, apparently, Kenya have played in the matter.
Related Stories
UN littered with failed projects, but few heads roll
It is said that Russia has been unhappy that Mrs Tibaijuka’s effort to reform UNON appeared to target its national, Mr Barabanov.
Germany, through its national, Mr Steiner, has been the main beneficiary.
On its part, Kenya — particularly one of the partners in the Grand Coalition government — is said to have been silently uncomfortable with Mrs Tibaijuka’s role in inviting Kofi Annan to mediate the National Accord.
It appears that Kenya had officially complained against Mr Barabanov over remarks the latter had made against the country.
According to a letter written by Kenya’s Foreign Affairs Permanent Secretary, Thuita Mwangi, to Mrs Tibaijuka on March 20, 2007, Kenya was angered by Mr Barabanov for questioning “the country’s ability to handle arrangements” for one of the organisation’s regular meetings.
It appears that Mrs Tibaijuka took this as a serious breach of UN diplomacy for she escalated the matter by reporting the latter to the UN Secretary General.
Moreover, an internal UN investigation says that Mr Barabanov “acknowledged that he improperly” had the UN Chief of Security issue him a UNON firearm and a temporary firearm permit; the Office of Internal Oversight Services had recommended action against him.
Mzawa
http://www.theeastafrican.co.ke/news/-/2558/542882/-/item/2/-/14p2oxr/-/index.html
BAn kasema hiyo position hamna na wakuu wa nchi hawapo tayari kuiendeleza read story from this link http://www.nation.co.ke/News/africa/-/1066/543038/-/13qn5ohz/-/
ReplyDeleteHapo JK anaelekea akisema" hello babe we miss you alot,how has it been by the way"
ReplyDeleteYes, anonymous aliyeogelea hazami kamwe. Wote wana juana hao. Dr. Migiro knows the President lacks the credibility without women he will not be able to win the next elections. It is the President who needs her not the other way.
ReplyDeleteNow that is the power. Use the power Dr. Migiro it is wakina mama turn now. Run for the President election in 2010. You can do it!
Mimi napenda kumpa hongera sana Mheshimiwa Dk. Migiro kwa kutunza weight yake. Unajua unene sasa hivi umekuwa ni tatizo kubwa sana la kiafya. Wengine tunahangaika usiku na mchana kupunguza kula, na bado ngoma nzito. Naona mama amejitahidi, anaonekana kama ndio kwanza katoka Sekondari. Hongera Dk. Migiro, unatupa moyo na sisi katika jitihada za kujikondesha.
ReplyDeleteWebsite ya UN ni daily updated. Inawezekana Ban kaamua kumpa mtu kazi ili akayasome mafaili ya huyu mama Tibaijuka. Ila kwenye management bado yupo si angeshatolewa,
ReplyDeletecheki hapa
http://www.un.org/sg/management.shtml
Alipokuwa akihojiwa na TBC1,mara tu baada ya kufungua rasmi mkutano baina ya IMF na nchi za Afrika jijini Darisalama,Rais Kikwete alisikika akikubali kwamba Mkanganyiko wa Uchumi Duniani utakuwa na tayari umeanza kuwa na Athari Kubwa katika Uchumi wetu!Fine!At least this latest stand is a bit different from the very previous one,when we were told that Tanzanians should not worry,the global economic recession notwithstanding!Our economy has been "insulated"from all external economic shocks as it were,thanks to our economic professors and eminent politicians of the Harvard Cadre!But I was left Baffled after loosing track of what was to follow! from the President!I had pinned all my hopes on what would be his "Economic Stimulus Package to the Crisis!".Should I believe that Tanzania's economic stimulus package is to be delivered to us from Washington DC? In this discussion I am talking about Home owners who have been forced to surrender their homes to Loaning Banks,or to Industrialists who will be forced to close down their Factories and render thousands of Tanzanians Jobless?Or to Shop Owners who will have to close down due to demand slump?The trigger-off effect is endless....in all sectors!Just when are we going to hear of Kikwete's Economic Stimulus Package!Not talking about Saccos or anything else apart from this covered here!May be Salva will convene a Press Conference on this to dispel doubts!Thing is Salva is so Close to the Horses Mouth!You never can tell with the stimulus package,economic that is,just to be within the bounds lest should I be misquoted,please!
ReplyDeletewachangiaji katika pita pita zangu nimekutana na hii blog www.ccmmarekani.blogspot.com ya wana ccm wa mrekani lakini nimeipenda sana hasa walivyoelezea kuhusu mkutano wa IMF. Ukipata mda tembelea hiyo blog pengine utaelewa namaanisha nini
ReplyDeleteHawa IMF wanataka kutuambia nini?? Walostishaji sana hawa hawana lolote.Research about IMF you'll know. Nchi maskini zitazidi kuwa maskini zikiendekeza fikra za wataalam wa IMF- Wameharibu huko Poland kuna mifano mingi pia kuhusu Africa lakini tunajifanya wanadiplomasia. Sawa yetu macho. kanyaboya hizo. Mtakanyaga miwaya, ohoo.
ReplyDeleteJamani watanzania hili ni swala la kitaifa na inabidi tuwe tunasimama kidete kutetea Taifa letu.
ReplyDeleteInavyoelekea Mama Tibaijuka alishtukia au alikuwa anaziba dili fulani ndio wenzetu wakala njama.
Wakenya wanaandamana kumtetea wakati sisi wala kuandika tunaogopa. Magazeti Kenya wameandika vilivyo hadi kwenye TV sisi kimyaaa.
Hata kama Katibu mkuu amemuondoa inaonekana kabisa kafanya hivyo kihuni bila hata ya kuwasiliana na mhusika.
Soma hapa uone jinsi sisi tunavyoamua kuwa mashoga badala ya majogoo pale maslahi ya Taifa yanapohusika hadi Wakenya watusaidie:
1. Tibaijuka demotion tests EA relations
http://www.nation.co.ke/News/africa/-/1066/543038/-/13qn5ohz/-/index.html
2.
Tibaijuka replaced as boss of UN Nairobi office
http://www.nation.co.ke/News/-/1056/541586/-/u328ws/-/index.html
3. Protest over replacement of UN's Tibaijuka
http://www.nation.co.ke/News/-/1056/541268/-/u326ip/-/index.html
Sisi tukae tu kama kondoo tukitegemea wapo watakaotetea maslahi yetu unaona hata wakenya wadadiriki kusema makao makuu ya EAC yahamishwe kutoka Arusha maana tumelala.
Ni kwa nini Wakenya hao hao wanaandamana kumtetea Mwenzetu (National Treasure) sisi hata kuuliza ukizingatia namba Two UN ni wa kwetu tunashindwaaaa??
WATANZANIA TUAMKEEEEE JAMANI???!!!
Mzawa