Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. samahani fungua kurasa ya kuchangia mawazo kuhusu jumuiya ya wanablogu tanzania.

    http://blogutanzania.blogspot.com/

    www.ringojr.wordpress.com

    ReplyDelete
  2. chema chajiuza,kibaya chajitembeza, sasa hayo maoni ya anony wa hapo juu yanauhusiano gani na post ya kipanya kwa bro mithupu.
    kutembelea blog hakupigiwi debe,bali mambo yaliyomo ndani yake na mtirirkowa matukio huvuta waanajamii. ombeni ushauri kwa mtu mzima hapa kabla ya kuanzisha hizo blogilinyo.

    ReplyDelete
  3. hata mie naunga mkono Anon wa march 10, 12:28PM muwe mnamuomba ruhsa Michuzi na Blog zenu jamani. Kuhusu Kipanya Katuni yako ni nzuri. sema wasije kuruhusu watu kuwa na wake au waume ndani ya jela itakuwa si jela tena.

    Wanadamu watakuwa wanafanya kusudi wengine wanaona maisha rahisi jela kuliko nje wengine jela wanapata chakula na kama ndio kuonana na mwanamke sio ndio wamemrahisisha kutokuogopa kufanyau jinga wake nje?.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...