Home
Unlabelled
kp leo
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Mi nilidhani tumepata watanzania wenye nia ya dhati kabisa kutuokoa.
ReplyDeleteSasa hili la Mwakyembe linaanza kutuvinja nguvu wadanganyika.
Ninaamini kweli kabisa kuwa kelele zake nyingi za Richmond na Dowans ni nia ya kuwaondoa ili kampuni yake ishike hatam. Nani halioni hilo?
Kweli taaluma nchini zimeangamia. Angekuwa mkweli si angetuambia mwenyewe tena kupitia Bunge letu tukufu!! Kwamba afadhali tubane matumizi kwa kununua mitambo ya kufua umeme wa bei nafuu. Amesubiri Rostam amuumbue ndio anaanza kujitete, eti haijaanza kufanya kazi. Baba mwakyembe, kampuni iko kwenye mchakato, ndo kumaanisha tayari inafanya kazi, si lazima izalishe ndo useme inafanya kazi, kwani hamna watu wanalipwa mshahara. Acha kutudanganya, sisi wakubwa wenzio. Acha kudhalilisha taaluma hata kama Spika si Daktari wala professa. Mi umeniudhi weee Kyembe. Conclusion Mwakyembe, Rostam Azizi, Losawa, Liyumba, Balali, Yona, Mramba etal wote walewale...
Mdau Chanika
mh! kp naona sasa na wewe kwenye hili una ka harufu ka ufisadi pilipili iko shambani we inakuwashia nini!
ReplyDeleteDr. Mwakyembe kalikoroga. Wakati anamnyonga Lowassa alidai kwamba sheria ya maadili ya uongozi izingatiwe ili viongozi wasiruhusiwe kuendesha biashara ambazo zinawaweka katika mtihani mkubwa wa mgongano wa kimaslahi katika maamuzi yao.
ReplyDeleteSasa leo hii Mwakyembe yuko kamatu ya Nishati, anapata ripoti za TANESCO na anatoa michango. mapendekezo na maamuzi ambayo yanahusu TANESCO ilihali na yeye mwenyewe ana kikampuni kinachofukuzia ulaji katika sekta ya umeme.
Bwana Mwakyembe ameshainvest Tshs billioni 1.5 kwenye hiyo kampuni hivyo kwa vyovyote vile angependa hela yake irudi tena na faida juu.
Pia kama alivyonukuliwa jana kwenye taarifa ya hapa globuni kwa Issa Michuzi ktk kikao chake na waandishi wa habari kampuni ya Bwana Mwakyembe inahitaji mtaji wa dola za kimarekani kama milioni mia nne hivo ($400,000,000) ... hiyo ni pesa mingi sana. Ili benki au investor wakupe pesa kama hiyo wanahitaji UTHIBITISHO WA KWAMBA KAMPUNI YAKO ITAPATA TENDA.
Sasa je Bwana Mwakyembe hebu tushawishi kwamba hutatumia nafasi yako katika sekta ya nishati kulazimisha TANESCO wachague kampuni yako?
BWANA MWAKYEMBE nakupongeza sana kwa kuamua kuanzisha kampuni ya kusaidia TANESCO kupata umeme kwa gharama nafuu. Lakini itakuwa vyema endapo utajiuzulu katika kamati ya nishati huko Bungeni, na pia ukaachana kabisa na mambo ya siasa kama ulivyopendekeza kwenye ile ripoti ya kamati ya kuchunguza Richmond.
Njoo huku nje ya Bunge tufanye biashara. Karibu sana.
Hapana Kp, hukumsikia vizuri. Hakusema "nina kamradi tu ..." bali kama ulimsikiliza vizuri alisema "tuna kamradi tu ..."
ReplyDeleteKwa kuweka kumbukumbu, kiongozi wetu anasema mradi huo ni wa watanzania wa kawaida, ambao wengi wao sio mabilionea (na sio mafisadi).
Mimi nafagilia majigambo kama haya kwa sababu ni chachu ya maendeleo kwa kukuna vichwa. Lengo ni kutuepusha na issue za CAPACITY CHARGES lakini pia kuwa na mtizamo tofauti bwana. Tusitegemee hydroelectric power wala kufuliwa kwa mamilioni ya shilingi kwa siku huku tukiumizwa!
Hongera kiongozi. Aluta ....
HII KASHESHE, SASA ITAFIKA WAKATI HATA ISSA MICHUZI WATAMKOMALIA ASIWE NA BIASHARA INAYOHUSIANA NA MEDIA ETI KWA SABABU ANAFANYA KAZI GAZETI LA SERIKALI.
ReplyDeleteWANDUGU ZANGU BIASHARA HAIKATAZWI ILI MRADI IWE HALALI NA ISIYOGUBIKWA NA WASI WASI WA UTAPELI.
KAMPUNI ZOTE ZILIZO AU KUTAKA KUHUDUMIA TANESCO ZINA HARUFU YA UJAMBAZI..
ITAFIKA WAKATI HATA UJASIRIASILIMALI WA MWANANCHI WA KAWAIDA MTAUPIGA VITA...KUSINGIZIA ETI MASLAHI BINAFSI..TUTAFIKA KWELI??
TUFANYE KAZI KWA BIDII, BILA WIZI ILI KUONGEZA MAENDELEO NCHINI....
MWAKYEMBE NA TIMU YAKO TUNASHUKURU KWA KUTUFUNULIA MOSHI ULIOTAKA KUSAMBAA WA RICHMOND, NA BINAMUYE DOWANS...ILI KUNYONYA KODI ZETU HUKU TUKIENDELEA KUWA MASKINI WA KUTUPWA..
JAMANI TUWE WAUNGWANA NA TUJIONEE HURUMA HUU UMASKIN WETU..NJAA ISITUFANYE TUWAACHE WANANCHI WALIO WENGI KUENDELEA KUTOKUWA NA MATUMAINI YA MAISHA YA BAADAE KWAO NA WATOTO WAO....EBOOO
Kilichopo hapa ni mafisadi kumnunua kila mwenye njaa sasa ili awapulizie airfreshner kwa watanzania. Kwa wenye mtazamo finyu hebu ngoja niwape kidogo kile kinachoendelea.
ReplyDeleteKatika sheria za biashara hasa kampuni, kuna mtu anaitwa PROMOTOR Huyu kazi yake ni kuanzisha kampuni na kuvutia wawekezaji ili kampuni i take off, promotor unaweza kuwa hata wewe ambaye hauna hata shillingi moja, na mradi ukianza wenye hela wanauchukua na wewe unakuwa hauna tena interest katika mradi huo, hii ndiyo position ya mwakyembe.
Katika kampuni kuna kitu kinaitwa "Authorized share capital", yaani ni kiasi gani cha mtaji kisheria unatakiwa kukikusanya toka kwenye soko la mtaji. kwa issue ya hawa kina Mwakyembe ni kama billion nane.
Halafu kuna "issued capital" hii ni kiasi gani kimegawanywa kwa potential shareholders(primary marketing), mgawanyo huu unatokana na mchakato either wa umuhimu wa mtu katika kuhamasisha uchangiaji wa mtaji kwa kuziuza "secondary marketing" au kama yeye binafsi ana uwezo wa kutoa hela hizo kitu ambacho Dr. Mwakyembe ameweka wazi kuwa hawana uwezo wa kulipia mahela hayo toka mifukoni mwao. Stage hizi zote ya kwanza na ya pili ni makaratasi matupu na maandishi hakuna hata sent hapo, na hii ndiyo stage ya kina Mwakyembe kwa sasa (Stage zote hizi bado ni promotion stage na kosa lolote linaweza fanya hata shillingi isipatikane, na ndiyo target ya mafisadi yaani kuusambaratisha mradi huu zalendo). Katika stage hizi huwezi kusema una interest kwani hakuna hela hapo na hata mahakamani au Bank huwezi kuweka dhamana ya karatasi tupu. "MWAKYEMBE WAS RIGHT VIBARAKA WA MAFISADI ARE WRONG"
Stage ya tatu ni "PAID UP CAPITAL". Hii sasa ni kuonesha je ni kiasi gani kimepatikana toka ama katika soko la mtaji ama mkopo ( Loan + Equity) =capital structure
Hapa sasa ndiyo Bank itsema inaidai kampuni kiasi kadhaa (Interest), shareholders watasema wanahisa (shares) kiasi kadhaa(maslahi au interest). Sasa Dr Mwakyembe na wenzake hawawezi kujitangaza kuwa wana interest ambayo si pecuniary (Related to payment of money). Vinginevyo watapata kashfa ingine kuwa ni MATAPELI, KALAMAZOO, FAFA etc.
Ila ili uelewe unatakiwa kuwa tayari kujifunza kama hujaenda shule vizuri, ila watu wa sheria, uhasibu, finance wanajua kabisa kuwa there's no interest in any company if there's no any transaction relating to the movement of CASH. Waandishi wetu kuweni analysts sasa mjifunze sio kuchumia tumbo. Angalieni CNN, BBC n.k ukienda kwenye Finance unamkuta mtaalamu wa finance ndiyo reporter, ukienda kwenye Afya unamkuta Dr. Sanjay Gupta (Surgeon bingwa), Ila bongo kwenye sehemu nyeti za kuripoti unamkuta ama Form 4 failure au Division four anaripoti kitu asichojua, na kama ni graduate basi mtu kasoma Sociology anariport finance matokeo yake ni kutupotosha wananchi.
Michu usiibanie hii nimetumia vitabu 6 kutoa maoni haya
THE POINT IS SIMPLE..
ReplyDeleteKuna waTanzania ambao wanania ya kutumia teknolojia ya upepo kuleta Umeme. Sasa hivi na vyanzo vyote tulivyonavyo, hatuwezi kuzalisha Megawati 750.. hapo jumlisha Mtera, Kidatu, Nyumba ya Mungu, Hale, IPTL na hata ukijumlisha na Dowans.
Sasa huo mradi ukikamilika utaweza kuzalisha Megawati 1800 hadi 3000.
Mi naona ni WOKOVU wa Umeme.
Hivyo ni HERI wala si jambo baya.
Tena na twenda huko Dodoma au Singida tuweka na 'solar panel' za kutosha. Tumechoka na umeme wa maji, umeme wa gesi matatizo, wa mafuta gharama.
TUAMKE.
Iwe ni Mwakyembe ama yoyote yule, kama kuna mradi utampunguzia mTanzania wa kawaida gharama, basi wana baraka zangu.
Aibu, juzi nilikuwa nawasiliana na mtu kuhusu habari nyeti Tanzania, ghafla akatoweka, nikampigia simu, akasema umeme umekatika.. Kha! Maisha gani hayo
Wewe Kipili usituyayushe hapa. Umetumwa na mwakyembe nini? ( UMETUMIA MUDA WAKO KUTAFUTA VITABU SITA! ILI UMTETEE) Umeandika hayo yote ili uonekane umesoma na unaelewa mambo. THE FACT KWAMBA IMEBIDI URUDI LIBRARY INAASHIRIA WEWE NI KIHIYO.
ReplyDeleteMimi nnayo phd ya Business na Finance. Ulichoandika wewe ni "pure theory" toka kwenye VITABU......SITA. YOYOTE ANAEJUA CHOCHOTE KUHUSU BIASHARA INAVYO ENDESHWA IN REAL LIFE (PRACTICALLY.....and especially in Tanzania) ANAJUA KWAMBA KAMPUNI YA MWAKYEMBE NI INANUKA USISADI.
Alafu unawaambia watu "hawajaenda shule vizuri". Wewe ndio hujaenda shule vizuri kwa sababu ilibidi ukatafute VITABU SITA ili uandike upuuzi uluotuandikia hapa.
Michuzi nami naomba usiibane hii.
Wakoloni watatukomboa....Mika miaka zaidi ya 50 Hola!
ReplyDeleteViongozi wetu watatukomboa.....miaka nenda rudi hola!
Akina Mwakyembe na Kilango ndiyo watatukomboa......Salaallah!
Watanzania, hakuna wa kutukomboa kutoka katika Umasikini wetu. Ni sisi wenyewe. Mafisadi tunawajua, vitendo vyao vinajulikana. ... Tutamsubiri yesu mpaka lini?
MNAOSEMA KAMPUNI YA AKINA MWAKYEMBE NI YA KIFISADI..WEKENI NAMBA HAPA TUONE HUO UFISADI UKO WAPI..PROJECT IKO MEZANI..MMEKAZANA ETI NI UFISADI. HATA IKIANZA KAZI, KAMA UTAFITI UTAONYESHA SIO MATAPELI WALA WEZI WANA HAKI YA KUFANYA BIASHARA KAMA MTANZANIA YEYOTE YULE..KWANZA MAHITAJI YA UMEME TANZANIA NI MAKUBWA MNO..SEHEMU NYINGI BADO HAZINA UMEME ACHIA WA KUTOSHELEZA..SO HATA HIYO KAMPUNI YA AKINA MWAKYEMBE IKIANZA KAZI, BADO ZITAHITAJIKA KAMPUNI NYINGINE ZAIDI ZA KUSAIDIA KUZALISHA UMEME NA KUUGAWA..SO TATIZO LIKO WAPI?
ReplyDeleteTUTOFAUTISHE UJASIRIAMALI NA UFISADI JAMANI..MAANA HUU MWELEKEO HATA MFANYAKAZI WA KAWAIDA ATAKAEANZISHA BIASHARA YA NYANYA NAE MTAMWITA FISADI..
RICHMOND NA DOWANS NI UFISADI WA WAZI..FACTS ZIMEWEKWA NA NAMBA ZIMEWEKWA....UFISADI MTUPU UNANUKIA.
YAANI MTU AKIWA NA KAZI HARUHUSIWI KUWA NA BIASHARA HALALI ISIYO NA HARUFU YA WIZI..KWA MTINDO HUU TANZANIA HAITAENDELEA KAMWE..
KUNA WATU WANA KAZI ZAO HATA SERIKALINI LAKINI PIA WANA BIASHARA WANAZOZIENDESHA KIHALALI..KUNA SHERIA JAMANI INAYOKATAZA MFANYAKAZI KUWA MJASIRIAMALI.??? TUTAFAKARI KULE TUNATAKA TUWE..KAMA MTU NI MWIZI NA MNYONYAJI NI MNYONYAJI TU..KWA SABABU USHAHIDI UNASUPPORT..KAMA HAMNA USHAHIDI HUO HUYO MTU NI SAFI
Wewe unayejiita Admin
ReplyDeletekama una PhD basi ni ya kwenye internet. Bora mimi ninaye ingia library kuliko wewe mvivu wa kufikiri na kuingia kwenye mtego wa mafisadi wa kutaka kudivert attention ya watanzania baada ya kutuibia mabilion ya Shs. Mimi Dr. mwakyembe simjui wala hanijui zaidi ya uhusiano wetu wa kuwa sote ni watanzania tunaoitakia mema Nchi yetu.
Kuwa na PhD ya Business na Finance haikupi wewe right ya kutoa hoja bila kuwa na facts. Wewe unasema kuna harufu ya kifisadi hebu nipe mfano mmoja wa harufu hiyo ya kifisadi. je aliingia mkataba wa kuwaibia watanzania?, je ameforge makaratasi akachukua hela pale BoT, je amechukua idea ya mtu bila ridhaa yake katika mradi huu (copy right?).
Vinginevyo msimamo wangu upo palepale "MWAKYEMBE IS RIGHT and all people who are working for FISADI Cronies are wrong". Wewe unatamba hapa una PhD mimi sikwambii nina elimu gani kwa sababu ninaitumia kwa maslahi ya nchi yangu na si binafsi. Ila ninakuhakikishia Pamoja na PhD yako ya heshima/Internet hunifikii hata 5% ya elimu niliyo nayo, itachukua miaka 100 katika ukoo wenu kufikia hatua niliyo nayo mimi, kwa hivyo naomba usilete usenene hapa, mimi nimetoa hoja wewe nawe pinga kwa hoja si kuleta personal attack.
Mtu akisoma niliyoandika mimi halafu asome kwako atajua kabisa kuwa wewe PhD yako ni ya "ADA KADABLA BLA BLA", ambayo kwa leo hii Tanzania haina nafasi.
Ukweli ni kwamba waandishi makini bongo ni wachache sana, wengi si analysts bali ni WADAKU kama wewe.
Tafadhali Michu usibanie hii, maana mjadala sasa unakuwa mzuri.Nataka admin ajue kuwa "BILA FACTS HUNA POINT YA KUWASHAWISHI WATU"
prove me right! for this altitude we wont get anywhere. mwakyembe like any other country men has a constitutional right to engage in business project for the sake of development. sasa for those who are criticizing him are laymen who doesnt know what they are talking. for instance, one correspondent in the name of Admin proves how hypocrite Tanzania intellectuals behaves(waungwana simaanishi wote) ni wachache katika category ya watoa maoni hapo juu. you cant posses a Phd in finance halafu utoe maoni kama e lunatic, am sorry to say this bse you dont dissapoint yourself but your nation.
ReplyDeleteMichuzi as a blog hoster, i would like to propose my request to you that some comment are irrelevant to the public interest. please before you publish it, atleast you should check first the quality of the comment before.
now it is the time to build our country, whoever think contrary is a betrayer. it is a shame to see a very respected people comes with stupid and nonsense ideas.
lastly, what is the side of Mr KP? a betrayer or patritiotic
Long LIve Tanzania,
Long live Mwakyembe
Long Live Michuzi
Nawakilisha
By Analyst
Mdau admin wa March 20, 2009 3:37 PM ama unataka kuidanganya jamii kwamba una PhD ya Business na Finance au una PhD ya Commonwealth International University. Kinachokufanya ushtukiwe ni mambo makuu mawili:
ReplyDelete1. Unaashiria kuogopa kwenda library. Msomi haogopi kwenda library na kusoma vitabu sita. Msomi wa PhD akishasoma vitabu sita atajifunza kitu. Naposema atajifunza kitu simaanishi kwamba lazima atakubaliana na yote yaliyomo vitabuni. Anaweza vilevile kujifunza kwamba kumbe kuna waandishi wa vitabu wana mawazo yasiyo sahihi.
2. Mtiritiko wako wa lugha unaleta mashaka. Alafu si neno la Kiswahili, neno sahihi ni Halafu. Matumizi yako ya vituo nayo yanatia shaka.
Mdau aliyesoma vitabu sita ametoa hoja ambazo kwa mimi nisiyeelewa haya mambo walau naweza kupata pa kuanzia kufuatilia. Nami nitaingia maktaba na kuanza kuangalia conflict of interest, pecuniary nk zinaoana vipi. Kama nikijifunza kwamba mambo ni tofauti na hoja ya Kipili nitarudi globuni na niliyojifunza badala ya kumtuhumu tu Kipili kwamba anataka kujifanya msomi bila kufafanua kwamba mambo yakoje.
Wito kwa wadau wote: si vema tunapowasilisha hoja humu kuwaita wenye mawazo tofauti nasi "wenye mtazamo finyu"
Ndugu zangu wa tanzania tuamke, tuna macho lakini hatuoni,tuna masikio lakini hatusikii. Dr. Mwakyembe kaweka kila kitu wazi hata mimi ambaye sijaenda shule nimelewa chaajabu wengine wana phd hawaelewi inamaana hao ni wapumbavu wenye elimu.Hapo ilitakiwa serikali iwawezeshe ili wafanikiwe maana mafanikio yao ni faida kwa watanzania hata pesa watakzo pata hapo kweny huo mradi ukifanya kazi vizuri zitztumika tanzania kuliko hizi zinzo lipwa zinaenda nje.Wasomi tumieni elimu zenu kwa kubuni miradi kama hiyo sio kukalia tu kuna harufu ya ufisadi bila kujenga hoja.Eti nina phd labda ya kubeba box ughaibuni.
ReplyDeleteMungu ibariki tanzania wa tz wawe na mtazamo +
Mmbariki mkuu wa wilaya ya naniiii!
usinibanie mkuu wa wilaya
Kwako brother Michuzi.
ReplyDeleteKwanza kabisa naomba nianze kwa kumpongeza huyo mdau aliyesoma vitabu 6 na nampa heshima nyingine kwamba ni msomi.
SABABU YA KUMPA HESHIMA.
Mdau ametambua kwamba huu ni uwanja ambao si wote wana uelewa wa maswala hayo aliyayafafanua,hivyobasi mdau ameona ni sahihi kutumia muda wake kupata "facts" kwasababu anawasilisha mada kwenye uwanja wa watu tofauti.Huu ndyo tunaita "usomi".Kwa kweli nakupongeza sana.
NAKUJA KWA MDAU HUYO MWENYE THE SO CALLED "PHD".
Kaka Michuzi,naomba nikupe siri moja,ukishaona mtu anatamba-tamba sana kama huyu jamaa basi ukifuatilia utakuta hiyo PHD ina hitilafu fulani.Mwenye PHD hawezi akaanza kwa kashfa kama za huyu jamaa.
Hatukatai mtu ku-critisize wazo au hoja ya mtu mwingine kwani hiyo ndiyo sifa mojawapo ya kuwa binadamu uliyekamilika kwamba tupo tofauti kwenye mitazamo na mambo mengine mengi.Tatizo ni kwamba unawasilisha vipi mtazamo wako ambao ni tofauti na wa mwenzio.Lugha kama "mimi nina phd","wewe una mtazamo finyu","wewe ni KIHIYO kwa sababu ulikwenda library kusoma" unanifanya nishawishike kabisa kwamba huyu mzawa ni mmoja kati ya wale wazawa walioanikwa kwenye mitandoa kwamba PHD zao ni FEKI.
Majibu yake huyu bwana kwa yule mdau wa vitabu 6 hayana msingi wowote.Hebu tujiulize,ni watanzania wangapi leo hii wanaelimu zao za maana lakini hawathubutu kuongea au kuchangia hoja kwa staili ya huyu "mpumbavu" anayejiita ana "phd".Huyu mpumbavu anatupa taswira gani watanzania kama sisi ambao hatukusoma labda kutoka na hali ya maisha?Hebu pata picha "mpumbavu" kama huyu kesho na keshokutwa akabidhiwe madaraka makubwa,sisi ambao hatujasoma tutakimbilia wapi?
Michuzi nina mengisana ya kundika juu ya watu wenye mawazo "mgando" kama huyu nduguyetu mwenye "phd" ambayo siwezi kumaliza kwa hapa.
MICHUZI NAOMBA U-UPLOAD HII.
Ndimi mkulima-kijijini Gezaulole.
Bwana Kipili,
ReplyDeleteKwanza kabisa nikupongeze kwa kutumia muda wako kwenda library kujifua zaidi.
Maadamu umeonesha mfano hata ushauri wako kwa waandishi wengine kwamba nao wakajifue unakuwa na mantiki.
Pili sijafurahishwa na jinsi unavyoponda masomo kupitia internet. Ukiifahamu internet vizuri utajua kuwa njia bora zaidi ya kusambaza ufahamu. Internet ni njia (media) inayotumika kufundishia kwa distance learning.
Endapo kuna tatizo lolote basi tatizo si la internet. Tatizo ni la chuo kinachotoa hiyo elimu maana kuna vyuo vingine usajili (accreditation) yake ni ya wasiwasi.
Lakini pia kuna vyuo safi kabisa kama vile UNISA cha Afrika Kusini ambavyo hutoa elimu kwa kupitia internet.
Internet pia ina library. Pitia Google kisha tafuta "online reference library" au "online open library" utapata library zenye reference materials sawa sawa au pengine nyingi zaidi kuliko zilizomo kwenye library yako ya matofali.
Nadhani tumeelewana katika hilo. Kwamba elimu kupatikana kupitia internet sio tatizo, tatizo ni je nani anatoa elimu hiyo.
Tukija kwenye hoja ya msingi - ya Dr. Mwakyembe. Kikubwa hapa unapaswa kuelewa jinsi biashara inavyofanyika hapa Tanzania.
Huo mlolongo wa promotor sijui primary market na secondary market ni theory ambayo si lazima ifuatwe na si lazima iwe ndio nia aliyonayo Mwakyembe.
Watanzania huwa tunaanzisha makampuni ili kuongeza kipato. Ni mara chache sana watu kuuza makampuni yao, ndio maana hata soko la hisa bado linalegalega.
If anything, Mwakyembe na wenzake wako for long term profits. Wanachinga deal hivi sasa, na ikitiki wataendelea kufaidi matunda ya kazi zao.
Hiyo ni safi, na ndio ujasiriamali wenyewe.
Ila tatizo moja kubwa ni kwamba nafasi aliyonayo Mwakyembe ya uongozi wa kisiasa tena kwenye sekta ya nishati inampta unfair advantage dhidi ya competitors mwingine yeyote. Pia inaweza kuhatarisha maamuzi, na mapendekezo yake kulenga zaidi katika kutengeneza mazingira mazuri kwa kampuni yake.
Sisemi kwamba tayari amefanya ufisadi, ila yuko katika mazingira hatarishi.
Ni kama vile leo hii Mkurugenzi wa EWURA akawa na kampuni ya kuzalisha umeme, au mkurugenzi wa SUMATRA akawa na kampuni ya mabasi.
Ili aweze kueleweka vizuri Mwakyembe ilifaa angesema kabla kwamba nina kampuni ambayo iko katika mchakato wa kuja kuzalisha umeme. Hapo hata akitoa hoja watu wataweza kuzichuja vizuri ili kuangalia kwamba zisielemee kwenye maslahi ya kampuni yake.
Sio kosa kuwa na kampuni. Ila kutokana na nafasi yake ni vema tukijua kuhusu kampuni yake.
Anon wa March 21, 2009 8:18 AM/ Admin
ReplyDeleteNiseme tu kwamba angalau sasa umekuja kidiplomasia zaidi ili kufikisha ujumbe. Niseme Asante kwa shukrani zako kwani nisipofanya hivyo nafikiri sitaonesha utanzania, kwani ni kawaida yetu kuheshimiana.
Ila sikubaliani na hoja zako hazina nguvu wala supporting arguments.
1. PhD (Doctor of Philosophy) ni shahada ya juu inayotrain mtu kuwa na in-depth reasoning and critical thinking for everything regarding academic and non-academic issues before opening up a mouth or taking a pen to write something. Ili kupata sifa hizi Inahitaji supervision na interaction ya mtu/watu ambao wamebobea ili uweze pata critics wa kukufanya wewe ufikirie in 4-dimensions (4D). Baadhi ya wabongo wanafanya PhD ni "title" na si "contents in brain" ambao wengi huji-enrol kwenye web based universities pay some amount in few weeks wanapata vyeti ya kujiandisha kuitwa "PhD holder"/ hawa ndiyo mimi ninawazungumzia hapa na mmoja wao ni Admin, kazi yao kubwa ni kutamba kuwa wamesoma ila matendo yao ni ya ki-illerate. "Philisophers believe that education without application is useless". Unapomkuta mtu kama Admin anajisifia yeye ana PhD halafu ukiangalia mchango wake ni sawa na muuza karanga anayefikiria jinsi ya kukaanga ili ziwe tamu na kupata wateja huyu anakuwa ameibaka "PhD" title na huyu hana right ya kukosoa mtu asiyemjua kwa kumwita "ana taaluma Finyu".
Tukija NISA and other serous internet based education, hawa wanatofauti/ kwanza wana wanakupa muda twice zaidi ya full-time student(mfano PhD full-time 3 years wao wanakupa 6 years). Pili kuna kuwa na kipindi cha personal assessment, ambacho either wao wanakuja kwako au wewe unaenda ili kuprove kwa "Viva" kuwa unasoma na umewaconvice. Hawa sina tatizo nao kwani huitwa "distant learners" na ukishindwa kuonesha quality hupati kitu.
2. Njoo kwa Dr. Mwakyembe na conflict of interest, wewe hoja yako ni kwamba alitakiwa ku-declare interest bungeni. Kumbuka bungeni kuna kanuni zake, na kanuni ambayo inaongoza wabunge kwenye mijadala kuhusu suala hili inaweka wazi. Mbunge atatakiwa kueleza maslahi yake kifedha (pecuniary interest) katika jambo kabla ya kutoa mchango wake, ibara ya 61 ya kanuni za bunge. Katika mradi wa Kina Mwakyembe na wenzake, hakuna "pecuniary interest"(rejea michango yangu huko juu), sasa conflict inatokea wapi hapo?. Ukweli ni kwamba MWAKYEMBE IS RIGHT and all FISADI CRONIES ARE WRONG".
3. Kusuhu kufananisha michango yangu na thoeries kwa sababu nimesoma kwenye vitabu you are also going wild on this. Kumbuka Tanzania ni nchi yenye utawala wa sheria, na kufanya kitu kinyume na sheria ni kuvunja sheria, huwezi kwenda mahamani kujitetea kwa kusemandiyo tunavyo fanya kwenye real life, mahakama itatoa uamuzi based on rules and regulations na siyo practices. kuwa makini hapo "Ni mafisadi tu ndiyo hawafuata taratibu, wao kila kitu wanataka short cut, iwe elimu, mafanikio(wizi wa kuforge) n.k.
Vitabu nilivyosoma mimi ni vya kanuni na sheria za uendeshaji biashara na ndivyo inatakiwa iwe hivyo. Bado hujanishawishi kuamini kuwa Dr. Mwakyembe alivunja kanuni na ana "Conflict of interest" na Richmond/Dowans.
Lete more details!!!!!!!!!!
1.Basi turudi kwa Nyerere.Alisema Kiongozi asiwe na hisa katika kampuni ya kibepari.Mtaweza nyie mnapiga kelele ya Conflict of Interest?
ReplyDelete2.Sakata hili limeomyesha finacial na commercial ignorance ya waandishi wetu wa habari na kupitia kwao watanzania ambao walipaswa kuelimishwa na waandishi hao. Kipanya hajui kwamba hizo hizo bilioni 500 ni za kufikirika za kimipango tu kwa hatua hii, si kwamaba Mwakyembe na wenzake wanazo; ni pesa ambazo lazimazipatikane kutoka kwa wanahisa na wakopeshaji miradi (venture capitalists kama Commonwealth Development Corporation International Finance Company na mifano mingi mingineo) ili mradi uweze kuanza.Sasa hii ni idea tu na katika dhamira ya kuitekeleza kampuni imeandikishwa na inabidi sasa zijengwee hoja kimaandishi na kitaalam kwa venture capitalists ni vipi mabao yanaweza yakawa kweli.Kwanza inabidi iwepo kampuni amabayo ni Power Pool East Africa, wajulikane wenye nayo (Mwakyembe na wenzake alioyowataja, Dowans bado hatujui ni ya nani by the way hakuna aliyejitiokeza kusema mimi ndiye mwenyewe), miatmbo inayotakiwa ijulikane na iundwe kwa mazingira ya hilo eneo la Singida (si kama mkoko unaoweza kuknunu kila kona ya Dsm sasa hivi, hii ni custom made to project specifications),mikataba iwe negotiated na iandikwe, survey ya upepeo kwa mwaka ya eneo ambalo kmitambo itafungwa na mambo mengi kadhaa. Sitashangaa kama megawat ya kwanza ikiwa bado haijazalishwa 2015 au 2020. Sasa kuenguliwa kwa Dowans au Richmond hii leo kunamfaidisha vipi mtu mabaye hata 2015 au 202o atakuwa hana hata megawat ya kuuza?
At this stage balance sheet ya Power Pool haitwezi kusema thamani ya Power Pool ni 500 billion!!Income statement itaonyesha haina kitu ,maana haijauza kitu. Kutakuwa na tofauti kubwa tu Authorised shares na paid up shares zitakuwa na tofauti kubwa tu- kina Mwakyembe na wenzake wakiwa na hata bilioni 1 cash benki kama Power Pool East Africa nitashangaa.Kiasi kikubwa cha pesa kwa miradi kama hii haitoki mifukoni inatoka kwenye venture capital funds ambazo wanakopesah miradi iliyohakikiwa kitaalam yenye. Ikibidi hawa venture capitalists huingilia na hata kutoa menejimenti ya kitaalaam kwa muda au ya kudumu au kuchukua hisa kabisa katika miradi kama hii. Sasa kwa mazingira haya kuna ufisadi kweli??Kipanya unayajua yote haya mpaka ukaweza kumpa mtu fisadi? Fisadi mwizi, kakiuka sheria/taratibu kwa madhumuni ya kujitajisrisha na kuiba mali ya umma. Hapa umma umeibiwa vipi.
4. Alafu nashangaa waandishi wetu wa magazeti ya kiswahili wanasema 'capacity charge' eti tafsiri yake ni gharama ya kuunganisha. Si kweli hata kidogo, mnapotosha wasomaji. Capacity charge ni mithili ya waiting charge ya teksi. Umekodi teksi umefika mahali unamwambia dereva akusubiri, asiende popote. Teksi ile ipo kwa ajili yako japo kuwa huendi popote kwa muda ule isitumike kwa namna nyingine yoyote kwa maana unaweza ukatokea wakati wowote ukaamuru teksi iendelee na safari kwenda kwingineko.Vivyo hivyo mitambo ya kufua umeme imekodishwa, kutoka IPTL kwa mfano, ikatumika kiangazi wakati Mtera na Hale na kwingineko kiwango cah maji kiko chini na Tanesco haiwezi kufua umeme wa kutosha. Baadae maji yakajaa wakati wa mvua na Tanesco ikaweza kufua umeme wa kutosha bila mitambo ya kukodisha kutumika. Sasa kipengele chja capacity charge kwenye mikataba hii inasema hii mitambo ipo kwa ajili ya Tanesco tu wakati wowote itakapoamuru iwashwe ifue umeme kwa dharura au vinginevyo- hivyo hata ispowashwa kuzalisha umeme maadam mitambo imefungwa hususan kwa ajili ya Tanesco, iwashwe wakati wowote Tanesco itakpohitaji basi kuna gharama yake ya shilingi kadhaa mailioni meeeeeeeeeeeengi tu kwa siku!
Mdau Kipili,
ReplyDeleteNi rafiki yako Anon wa March 21, 2009 8:18 AM kwa mara nyingine tena.
1. Nitaacha ukutane na PhD's ambao unawatilia mashaka mjadiliane na kupimana nguvu. Ila kikubwa nilitaka tuweke mambo sawa maana wengine wakisikia mtu anasomea kwenye internet basi wanahitimisha kwamba ni degree feki. Yes kwa PhD of course supervision ya karibu zaidi inahitajika. Kama supervision hiyo haiwezekani by distance methods hilo ni jambo jingine.
2. Kwenye hoja ya pili kwanza tungewekana sawa COI (conflict of interest) ni kitu gani?
COI ni pale maamuzi ya mtu aliyepewa dhamana ya uongozi wa umma yanapolenga kumnufaisha zaidi yeye kwa gharama ya umma.
Hivyo conflict of interest si kati ya Mwakyembe na Dowans/IPTL. Ni kati ya Mwakyembe na umma wa Watanzania.
Kwamba yeye amepewa dhamana ya uongozi wa umma na ameanzisha biashara ambayo kwa kutumia madaraka aliyopewa anaweza kuathiri maamuzi yatengeneze mazingira mazuri kwa biashara yake.
Uwepo wa Dowans/IPTL sio ishu. Hata kama hao wawili wasingekuwepo suala la COI lingekuwepo.
Mwakyembe amewekeza katika sekta ambayo iko highly regulated. Soko la bidhaa yake kwa scale anayotaka kufanya ni wazi kuwa ni TANESCO. Huwezi kuinvest TZS nusu trilioni (abt. $400,000,000) kisha ukatarajia kuanza kufukuzana na wateja wadogo wadogo kama wanavyofanya watu wa solar power.
Ni wazi atahitaji miundombinu ya TANESCO. Na kwa hivi sasa kazi na madaraka yake ya umma yamemuweka karibu zaidi na TANESCO. Hivyo mazingira hayo ndio yanatengeneza COI.
Mwakyembe kama alivyosema hana $400,000,000. Anategemea "wafadhili" (soma: wawekezaji) kumpatia huo mtaji.
Lakini kwa upande mwingine hakuna mwekezaji atakayekupa $400,000,000 pasipo kuwa na uhakika wa soko.
Hivyo ili afanikiwe Mwakyembe anahitaji kuwaweka sawa TANESCO wamuunge mkono na kumhakikishia soko.
Angekuwa ni mfanyabiashara wa kawaida isingekuwa neno. Lakini ana dhamana ya umma kusimamia utendaji wa TANESCO. Hapo ndio hoja ya COI inapokuja.
Pecuniary interest kwa kiswahili ni maslahi ya kifedha. Hivyo jiulize je mtu anaanzisha kampuni kwa ajili ya nini kama si maslahi ya kifedha?
Bila shaka umenipata.
3. Kwa hoja ya tatu ... well, ninsingependa kumaliza wino sana. Kama wewe ni mfanyabiashara na sio academic peke yake utakuwa umeshajionea. Ila kama bado hujajikita kwenye biashara (na ninamaanisha biashara kweli sio zile za part time huku unaendelea na ajira somewhere) karibu utajionea.
Tunajitahidi kufuata vitabu lakini maadam sio wote wanaofuata vitabu inabidi kurekebisha matanga ili upepo utupeleke kule tunakotaka kwenda.
Siku njema.
---
PS: by the way makosa ya Mwakyembe hayawasafishi Dowans. Kuna article waliandika Mtanzania kwamba Dowans waachwe eti kwa sababu Mwakyembe na yeye ana interest zake kwenye sekta ya nishati. HIYO NI HOJA YA KIPUUZI. Dowans wasubiri tenda itangazwe na kama mitambo yao inafaa itanunuliwa, lakini sio kuforce eti nchi itakaa giza wakati ni INTEREST za wakubwa ndio zinawafanya watuzimie umeme ili tuamini eti nchi itakaa giza.
Mitambo ya Dowans uwezo wake ni kuchangia 2% tu ya mahitaji ya umeme. Sasa kukosekana kwa 2% ya umeme ni wazi sio sababu ya kufanya nchi iwe giza.
Anon wa March 21, 2009 10:42 PM
ReplyDeleteKuna usemi mmoja wa kiingereza "IF WIHES WERE HORSES, BEGGARS WOULD RIDE"- Kila Mtanzania anamatamani kuwa na maisha mazuri, kuwa na nyumba nzuri kumili vitu vyote ambavyo vitamfanya aishi kwa raha hapa duniani, ila haya yote ni matakwa tu. Kama unaweza ku-justify kuwa matakwa haya yanafanya watanzania wote kuwa na maisha bora basi nakubaliana na wewe kuwa Dr. Mwakyembe alikuwa na pecuniary interest katika kazi yake ya kamati.
Ila kama hiyo $400,000,000 ni wishes kama walivyo watanzania wengine kutamani maisha bora zaidi ya waliyo nayo ya kimasikini ya chini ya $1 kwa siku, basi Dr. Mwakyembe hakuwa na COI yoyote ile.
Unaposema COI ni kwa watanzania waliompa dhamana ya uongozi wa kuisimamia TANESCO hapo unanichanganya kidogo, huenda labla mimi nipo East wewe West. Mwakyembe ni Mbunge wa kyela less than 1% ya watanzania, Mwakyembe hayupo katika Board of Directors ya TANESCO ambayo kiutawala ndiyo inamajukumu ya kuidhinisha maamuzi makubwa ya Mgt ya TANESCO. Kuwa kwenye kamati ya Nishati na Madini ya bunge, au kamati maalum hakumfanyi Mwakyembe alazimishe maamuzi ya Tanesco bali yeye ni "mpiga filimbi" tu. Mbona Kina Karamagi, Rostam, Mramba wapo katika kamati ya bunge ya biashara wakati wao ni wafanyabiashara?. Hii hoja haina msingi kabisa na ukiangalia basi Viongozi wote wa serikali, wabunge, watendaji Serikalini watajikuta kwenye kundi moja na Dr. Mwakyembe la kuwa kwenye COI kwani karibia wengi wanabiashara.
Labla tu kufupisha mjadala ni kwamba hili suala la COI kwa Dr. Mwakyembe ni deliberate attempt ya watu walihemewa na tuhuma za ufisadi ya kuwafanya watu wasiwazungumze wao na kuzumza mambao ambayo hayana tija kwa Taifa ya COI.
Suala la kutumia miundombinu ya TANESCO nalo halina msingi. Kwani kumbuka kuwa TANESCO Inamiundo mbinu ya kusambaza umeme kwa only 10% ya Watanzania, 90% hawana umeme. Hii ni opportunity kubwa kwa kampuni yoyote itakayokuwa na mtaji wa kusambaza umeme kama sheria za kuilinda TANESCO zitarekebishwa. Hakuna mgongano hapo.
Vinginevyo
"WATANZANIA WOTE SISI NI MATAJIRI KWA SABABU TU TUNAFIKIRIA KUWA NA MAISHA BORA NA WENGINE KILA SIKU WANAHANGAIKA NA KULIMA KWA MKONO WAKITARAJIA KUVUNA TANI 200, WENGINE WAKIUZA DAGAA WAKIFIRIA KAMA FAIDA INGEKUWA TSHS 2 BILLION, WENGINE WAKITEMBEA WAKIFIKIRIA KUOKOTA MAMILIONI YA HELA, WENGINE WANACHEZA BINGO WAKIFIKIRIA KUWA WASHINDI N.K"
Bwana KIPILI,
ReplyDeleteHatuongelei wishes hapa. Tunaongelea real business.
Unless you don't know how business is done in this country.
As for your laments that all are rotten, YES I am afraid that's much closer to the truth.
All are rotten. However Dr. Mwakyembe rose to fame on high moral grounds by taking down the God Father of the rottens ... so he was expected to maintain high standards.
Unfortunately he's fallen short.
It's time now he stepped out of East Africa Power Pool, and sell his shares to someone else.
Mtoa Maoni March 22 2009 10:16:
ReplyDelete1.According to Mwakyembe there is no pecuniary interest. Again the company is only on paper which means it has been registered and is not operational. Again we need to distinguish between paid up shares and authorised shares- but if his shares are paid up then he has pecuniary interst and parliamentary rules require him to declare interest. Please don't fuzz things up.As long as the shares are not paid up there is no pecuniary interest, so what is he required to declare?? Now if you can prove Mwakyembe's shares are paid up and not simply authorised i.e. simply minuted in a duly constitiuted meeting of Power Pool East Africa- then please do so because then there will be breach of parliamentary rules.
You are either confused- possibly by the ROSTAM media- or you choose to be confused.
2.Now if you are saying that parliamentary rules should require declaration of parliamentarians' interests in addition to pecuniary ones then that is another matter and you will need to elaborate on that.
3.What is more is that the speaker has raised in press interviews the question of parliamentarians with declared and undeclared pecuniary interests serving on parliamentary committees. Is it right for an MP with 1000 cattle to serve on the Agriculture and Livestock Committee or a businessman of any sort to serve on the Commerce and IOndustry Committee? As this saga continues we will soon find that even the likes of ROSTAM (and others, but he is the best example here as he has been hypocritically been making a song and dance of this)serve on committess overseeing sectors in which they have substantial pecuniary interest (declared and otherwise). Have all committee members-especially ROSTAM- decalared all their interests- and are they up to date??? Are we then to dissolve all these committees or make members of these committtees resign from them? What about the considerable knowledge and experience these people could contribute then? Are we to leave the committees to the inexperienced and only theoretically knowlegable perhaps?
4. No one has proved Mwakyembe has paid up shares in Power Pool East Africa- not even the malicious ROSTAM press. He cannot therefore sell the shares. Perhaps though he can sell his option to buy shares allotted to him- but once he does there would then be pecuniary interest and declaration would be required by parliamentary rules. Would you also require this of all MPs serving on sectiorial committees where they have an interest even if the interset is not pecuniary- or are you just requiring this of Mwakyembe?
Mheshimiwa anonymous March 22, 2009 10:16 PM:
ReplyDelete1.Mwakyembe's shares cannot be available for him to sell at this satge i.e they are not paid up sahres and that is why he has no finacial interest to declare by parlaimentarty rules. At this stage even if he wanted to leave Power Pool while shares alloted to him are unpaid it is not even up to him to say to whom those shares would go. They might be allotted afresh by other promoters of Power Pool to existing members or they could even invite someone totally new.
2. Jamani naomba tujitahidi kuelewa hoja za kila upande na issues involved kwenye business na financial law kabla hatujaanza kucondemn watu kama mafisadi au COI. Hakika gazeti la Mtanzania au Magazeti ya Habari Corporation au katuni za kipanya si sehemu za kupata elimu ya mabo haya itakyomuwezesha mtu kutoa informed opinion au argument kuhusu mabo haya.
Samahani Mheshimiwa Anonymous, nadhani umekurupuka!!
Anon March 22, 2009 10:16 PM
ReplyDeleteI am still not convinced with your allegation on Dr. Mwakyembe's moral capacity. I've asked you to give one single dime of any misconduct for COI there's nothing of substance comes from brain. What i can see is a kitchen sink allegation which has no place infront of the facts I've given.
You can acuse someone of wrong doing just because he's thinking of wishing to have something better for the Public interest. "Philosophers believe that out of sight is out of mind", As long as what you see from Mwakyembe is not on the sight for the rest of us, the conclusion is simple, it's not not in our mind that Mwakyembe has moral disqualification. The only people who can say that are those who have been directly affected by decision made after Mwakyembe and other good peoples' voices on the scam you are fighting for.
You don't have ground for anything to discredit mwakyembe after his outstanding performance on fighting for dirty deal you are crying for. Otherwise, I am very sad to call you a direct beneficiary of the dirty deal which has been stoped by patriotic Tanzania and you are furious of them.
"STILL NOT CONVINCED AND WILL NOT BE CONVINCED WITHOUT STIFF EVIDENCE AND FACTS FOR ANY WRONG DOING" - THE SCAM IS CLOSED AND WE ARE STILL FOLLOWING UP IF THERE'S ANY INSIDER DEALING TAKING PLACE TO BENEFIT THE CORRUPT WHO HAVE BEEN CRIPPLING OUR COUNTRY FOR DECADES NOW. IF FIND ANYTHING CONCERNING THE SCAM WE'LL ECO OUR VOICES PERHAPS MORE THAN EVER, SO THAT ALL CULPRITS WILL BE HELD ACCOUNTABLE
Wadau ma-anon wa "March 23, 2009 4:13 AM" na "March 23, 2009 7:54 AM"
ReplyDeleteItakuwa vema kama mkiweka definitions zenu za "Conflict of Interest (COI)" na "Pecuniary Interest"
COI by nature is anticipative. Please refer to a working definition from Wikipedia, which I'll quote below:
"A conflict of interest occurs when an individual or organization (such as a lawyer, insurance adjuster, politician, engineer, executive, director of a corporation, medical research scientist, physician, writer, editor, or an individual or organization cited as a source) has an interest that might compromise their reliability. A conflict of interest exists even if no improper act results from it, and can create an appearance of impropriety that can undermine confidence in the conflicted individual or organization."
Source: http://en.wikipedia.org/wiki/Conflict_of_interest
Na "Pecuniary Interest" I have found a working definition here which goes as far as defining what is and what is NOT pecuniary interest.
I'll quote:
"(1) For the purposes of this Part, a "pecuniary interest" is an interest that a person has in a matter because of a reasonable likelihood or expectation of appreciable financial gain or loss to the person or another person with whom the person is associated as provided in section 183.
(2) A person does not have a pecuniary interest in a matter if the interest is so remote or insignificant that it could not reasonably be regarded as likely to influence any decision the person might make in relation to the matter. "
Source: http://www.austlii.edu.au/au/legis/nsw/consol_act/alra1983201/s182.html
Kanuni za Bunge letu hazijadefine what constitutes pecuniary interests (maslahi ya kifedha) and what doesn't.
May be that's where the confusion lies.
Otherwise I am open to suggestion as to why you gentlemen seem to think only paid up shares confer pecuniary interest.
Because based on available definitions and discussions on COI and specifically on Pecuniary Interest Dr. Mwakyembe would have benefited from any financial transactions of his company.
That condition fits well with the working definition on PI I have cited above.
Let the debate continue..
Anon wa March 23, 2009 1:23 PM
ReplyDeleteI am glad that now do take sometime to go Library, it's good development. But the major problem you are facing is that you don't know proper references for this particular issue, we are using Laws enacted by URT not New South Wales "Local Govt". your references are not relevant and reliable.
I urge you to visit only the following document, read everything and then come back to the world to have our assistance on this issue
http://www.parliament.go.tz/Polis/PAMS/Docs/12-2002.pdf
Wishing you all the best in Library, Don't go wild again
1.Where does the pecuniary interest come from if he cannot sell alloted shares and if shares are not paid up? What value is to be declared? Share values that promoters declare unto themselves is ab initio always very subjective, privileged and subject to alignment with market reality and conditions as more is known about the project through studies and research and other market conditions as the project progresses. That is why the value of authorised shares is a notional value for the promoters or those the promoters choose to invite.
ReplyDelete2.Rules require declaration of pecuniary interest.
3.Has every parliamentary committee member, especially those with paid up shares, and Rostam in particular, decalared their pecuniary interest in the sector whose committee they serve in? This is indubitably required by house parliamentary rules. But have they done so au anaoanekana Mwakyembe tu amabae very plausibly does not have pecuniary interest? Hata angeuza hizo share angeuza bei gani wakati kampuni ni registered/iko kwenye makaratasi tu. wewe ungenunua kwa bei gani kwa mfano- huu ni mradi tu hujui kama utafanikiwa au la katika hatua hii? Si hivyo tu bali kawaida at such a stage Mwakyembe would not be free to sell such authorised shares- if he is for some reason no longer interested in the authorised shares allotted to him- his fellow promoters would be free to reallot those shares among current promoters, or to an invitee or to choose to raise capital that would have been raised through Mwakyembe paying up, through equity capital or some combination of the three or some other means. So again demonstrate the pecuniary interest Mr. Anonymous 23 March 1:23 PM?
4. COI is always anticipatory my dear friend, let us grant you that.Now demonstrate the anticipation please.You have simply stated it. Na tafadhali don't fall into that old trap and fallacy kwamba because x occured before y therefore x is the cause of y.Hiyo fallacy inajulikana kama post hoc ergo propter hoc- by logicians. Tunataka rigorous demonstartion of anticipation of gain on the part of Mwakyembe. Kama huwezi kudemonstrate kaa kimya usichafue jina la mtu bure kirahisi na kwa hoja lege lege na n a kudai COI.
'Because based on available definitions and discussions on COI and specifically on Pecuniary Interest Dr. Mwakyembe would have benefited from any financial transactions of his company.'
ReplyDelete1.Rejea usemi wako hapo juu Ndugu Anonyomous March 23, 2009 1:23 PM: transactions gani tena hizi tena za lini wakati Power Pool unaambiwa is simply at the project stage without a wind turbine in place. If they are lucky they may generate power in 5 yeas time, but the way these things work it is probably closer to 10 years. Now Richmond-Dowans are in the here and now and they have only 2% of energy that TANESCO can distribute. Now how can Power Pool East Africa- a project that is several times larger than Richmond-Dowans and 5 to 10 years away to production- benefit from a decision against Richmond-Dowans now? Answer this Mr!!!
2. Please remember the parliamentary committe of which Mr Mwakyembe was vice chairman gave examples of brand new turbines of the same capacity as the Richmond-Dowans ones could be purchased in the US at a lower cost than the cost TANESCO proposed to buy Richmond-Dowans ones and turbines that could be installed in good time. I am sure with some diligence TANESCO could have found more sources all over the world- but they were blinded by the Richmond-Dowans turbines- not even the Afreko ones.So how is this COI- because the committee proposed an alternative cheaper solution than TANESCO's that would actually meet the requirements of the Public Procurement Act- something that you and Mr Lipumba, and Zito Kabwe and Habari Corporation conveniently ignore.
How is this Conflict of Interest?
Prove rigourously your alleged anticipated benefit on the part Mwakyembe in the light of all this- do not just state it and don't ignore inconvenient facts and arguments. Demonstrate COI ndugu yangu in the light of all these facts, usikurupuke.What COI could there be in demanding that the Public Procurement Act be observed and even proposing ways that it could be observed without endangering the country with a blackout??
3.Besides, why does TANESCO and Minister propose purchase of Richmond-Dowans turbines and amendment of the Act and not turbines from Agreko for example? There has been no answer to this from the Minister or TANESCO- why should only the RICHMOND-DOWANS turbines be considered for purchase even thougght this would violate the Act? I suggest you would be closer to establishing COI here and I will give you some leads: ROSATM, NGELEJA and RASHID were once all VODACOM mates- so stuff Agreko or any other turbines there might be available. Why not even propose supply of turbines by tender to all three companies that have turbines in the country, why just the ROSTAM-RICHMOND-DOWAN turbines??? The shoe is on the other foot my friend.
Hivi jamani inaingia akilini that mtu mwenye COI kwa nia ya kuinufaisha Power Pool aje tena afanye yafuatayo:
ReplyDelete1. Kuhoji kwa nini ununuzi wa turbines zingine haujafikiriwa mabali na turbines za Dowans- kwa mfano za turbine za Agreko. Na ninavyofahamu Mwakyembe na Agreko hawana undugu;kama upo basi tuelezeni jamani
2. Aufanye uchunguzi na kutoa mifano ya turbines mpya kabisa za Kawasaki zinazopatikana kwa muda mzuri, za bei nafuu kuliko za Dowans na zinaokidhi mahitaji ya TANESCO ambapo sheria ya manunuzi ya umma haitakiukwa. Au Power Pool inanufaika turbine za KAWASAKI zikinunuliwa? Au kuna link kati ya Mwakyembe na KAWASAKI? Tuambieni jamani.
3. Naunga mkono COI inahitaji kudhihirishwa siyo kusemwa tu kimzaha. Proof iko wapi? Tusiende kihisia hisia na kijazba jazba hapa jamani.
Anon KIPILI,
ReplyDeleteAs mentioned in my previous post for lack of a Tanzanian definition of "Conflict of Interest" and "pecuniary interest" I had to borrow from other source.
My citing of the Australian document by no way means I am trying to impose Australian Law into Tanzania.
It was in search of a working definition.
The document you have provided (The Companies Act of 2002) does not provide a definition of "COI" or "PI"
It doesn't even define the word "interest" despite having that word almost all over the place.
So my friend, can you give us a working definition of "Pecuniary interest" and "COI"?
That will simplify matters down the road.
As for you other anons, I'll respond to your arguments as well, but let's agree on definitions first.
"A conflict of interest occurs when an individual or organization (such as a lawyer, insurance adjuster, politician, engineer, executive, director of a corporation, medical research scientist, physician, writer, editor, or an individual or organization cited as a source) has an interest that might compromise their reliability. A conflict of interest exists even if no improper act results from it, and can create an appearance of impropriety that can undermine confidence in the conflicted individual or organization."
ReplyDeleteSource: http://en.wikipedia.org/wiki/Conflict_of_interest
Na "Pecuniary Interest" I have found a working definition here which goes as far as defining what is and what is NOT pecuniary interest.
I'll quote:
"(1) For the purposes of this Part, a "pecuniary interest" is an interest that a person has in a matter because of a reasonable likelihood or expectation of appreciable financial gain or loss to the person or another person with whom the person is associated as provided in section 183.
(2) A person does not have a pecuniary interest in a matter if the interest is so remote or insignificant that it could not reasonably be regarded as likely to influence any decision the person might make in relation to the matter. "
Ndugu yangu Anonymous March 23, 2009 1:23 PM kwa nini unajinyonga na kamba yako mwenyewe? Naomba tumalize ubishi huu. Naona u hodari kunukuu kutka viyanzo mbali mbali; lakini umakini wako wa kutafakari uliyonukuu na tunayoyajadili. Tumalize sasa ubishi kwa kunukuu hizo definitions uzionazo bora sana kumaliza na kukumaliza:
a.Hiyo definition yako ya COI inategemea neno 'might' in what sense- possibility or probabaility. Kama possibility it is totally useless and anything might happen/is possible so at all times there is conflict of interest. Kama probability basi tupe kipimo in our particular case wakati mtu (Mwakyembe) ambae mnasema na COI amewaambia namna ya kupata alternatives amabazo hahusiki nazo kimaslahi na kuhoji kwa nini alternatives ambazao hahusiki nazo hazijafikiriwa isipokuwa turbines za Dowans/Richmond tu. Why not brand new turbines (e.g kawasaki from US) or used ones from Agreco?? Kwa hiyo it is neither possible nor probable kwamba Mwakyembe is conflicted.
b.'Appearnce of impropriety' says so much about the perceiver, perhaps than the perceived. Wewe na Rosatam mnaona hivyo pengine kwa sababu ndivyo ambavyo mngefanya kama nyie kama mngekuwa kwenye mazingira aliyokuwa Mwakyembe kwa hiyo mnamtuhumu na kile ambacho mngekifanya kama mngekuwa katika mazingira yake. (There is a name for this fallacy in psychology and philosophy but I can't remember it just now). Ni kama yule mtu asiyemuamini mmewe/mkewe kuwa na watu wa jinsia tofauti pasipo yeye kuwepo; lakini kinachomtuma kuwa na wasi wasi mpaka akatuhumu hivyo ni tabia yake yeye mwenyewe mmewe/ mkewew asipokuwepo!!!Kwa hiyo ufisadi wa Rosti unamfanya aone kwamba na wengine ni kama yete tu- jamaa kalemaa hajui tabia nyingineyo na haelewi kwamba wengine wanaweza kuwa tofauti wasiwe mafisadi.
c.Definition yako ya 'pecuniary interest' inategemea reasonable likelihood or expectation' na baaadae inatoa ufafanuzi iwapo kuna 'remoteness' na 'insignificance' kiasi kwamba haiingii akilini kwamba angewewza kushawishiwa na hilo jambo. sasa mmekwishambiwa Power Pool bado ni project tu na uzalishaji wake siyo wa leo au wa kesho, bado kuna kazi au struggle kubwa kabla haijazalisha miaka minhgi tu. So it is remote - it is merely at project stage.Kama una ushahidi tofauti kwamba siyo remote utoe sasa.Kwa hiyo kama ni remote basi hakuna pecuniary interest.So what pecuniary interest is there for Mwakyembe to declare, by your own trusted definition?
d. Dowans/Richmond turbines or can only satisfy a mere 2% of TANESCO'S needs. But Power Pool east africa have much bigger dreams more than 10 times Richmond/Dowan's capacity. So even if Dowans/Richmond turbines were sold to TANESCO and the Public Procurement Act contravened (or amended especially for Richmond/Dowans) the difference in scale is the difference between chalk and cheese.So Richmond-Dowans generation capacity is insignificant comapred to what Power Pool are planning. So if there is insignificance, again there is no pecuniary interest to declare?
e. Mambo haya si mepesi na si vizuri kucahfua jina la mtu bila kuwa na proof. Sasa kama huelewi iatkuwa kwa sababu hutaki kuelewa na umeamua kuwa (m)zito
Kwa heri ndugu yangu and I believe I have disproved your argument which allows me to say QED.ASANTE
Anon March 23, 2009 7:23 PM
ReplyDeleteThere is only justification for borrowing when there's "LACUNA" in our law and that should be done by the Court to resolve a complex matter. You can just go to freedictionary.com, type pecuniary interest and be redirected to austration for illustration and then come here and thry to convice us.
1. Read S.27(b) & (c) of the Companies Act 2002, and think critically if you like to think.
2. Section 49 (7) of parliamentary regulations on rules of debates stipulates that: ’’A Member shall not speak on any matter in which he has personal pecuniary (financial) interest, except after disclosing the nature and extent of that interest.’’
What else do want to know that there's no COI as long as Mwakyembe is Concerned?. Man/Woman be realistic there's no need to argue the unarguable and possiblize the Impossible just to make your points sound.
Dear Anon March 23, 2009 7:23 PM,
ReplyDeleteEven on your own terms, your beloved Australian definitions,
Anon March 23, 2009 7:41 PM demolished soundly your assertion of COI and undeclared PI on Mwakyembe's part and in any case you have merely asserted and failed to establish Mwakyembe's COI.
So what do you want to do now? Change definitions to see if you can make your charges/claims stick?
Well,karibu sana; choose other definitions of COI and PI and let us continue. But the minimum I will demand of you is rigorous demonstrations and not simply definitions, hints and aspersions.The stakes are high and we cannot expect any less of you.
KIPILI,
ReplyDeleteSince you know more about the companies act, and you are better at critical thinking perhaps you can enlighten us as to what
the section you have quoted defines COI, PI and interest(s).
And for Kipili again on pt #2 just for your info there's a new set of parliamentary rules (Kanuni za Kudumu za Bunge, Toleo
la 2007). The section you quoted has now moved to section 61. But the contents are more or less the same. Also read section
114(19) of the same.
Otherwise I see the other 2 anons have agreed we have a lacuna here so we should borrow a definition from elsewhere.
Now as for the issues raised by other anons, first let me clarify a few points.
I presume your gents/ladies are working from an assumption that anyone who is criticizing Mwakyembe is supporting Rostam.
That's not the case at all, as already stated in posting of March 21, 2009 10:42 PM above.
There is (or might be) a pro-Rostam lobby out there that seeks to justify purchase of Dowans generators based on allegations
that Dr. Mwakyembe was acting on personal financial interests in the investigation of Richmond scandal.
But on the other hand I am on the anticipative (ie, forward-looking) lobby that is questioning the ethics of Dr. Mwakyembe
accepting appointment into the parliamentary energy committee without declaring that is building a power company himself.
For instance, it could be in the best interest for TANESCO to operate their own generation plants (just like they are doing
for Kidatu, Kihansi, Nyumba ya Mungu, etc) but do you expect Dr. Mwakyembe who is looking forward to own a power generation
company to recommend TANESCO owns and operate their power generation plants?
As far as I understand the anticipative nature of COI does not mean one can not serve in energy committee just because they
own an energy company. What they have to do is declare their ownership and their intentions of making money in the energy
sector.
Something which Dr. Mwakyembe neglected.
Such a declaration would have formed a basis for other MP's and general public to evaluate contributions and recommendations
of the said MP in their committees and in the general assembly.
One anon raised the time issue citing it as evidence of remoteness of COI. Well, I see another anon has pointed out that
"stakes are high" and in business when stakes are high it's normal for planning to be long term in nature.
So is it remote? That's a strategic and operational issue. If he is a lousy businessman it could take 10 years. If he gets a smart team it could be realized in 2 or 3 years. Is it insignificant? No. The stakes are high.
In other words what Mwakyembe is doing now will impact the outcomes of his venture in the future.
Another error I am seeing is that of looking at share capital as the principal indicator of financial interest. You know
what? that's not the way we count in business. In business we count everything ... how much has been spent in research? how
much has been spent in relationship building'lobbying? how much has been spent in cash or in kind? for Pete's sake we know they have already bought a large chunk of land in Singida (he says they got it for FREE ... haha... I'd like to get some FREE land too so let me go to Singida next time). All these expenditures go into solidifying the commitments and iterests of the parties into the outcomes of the venture.
The short of it is that Dr. Mwakyembe has vested interests and is looking forward to make money in the energy sector, and he is taking practical steps to realize his dreams. So if you want me to believe that Dr. Mwakyembe has no interests in the energy sector try again.
There was an issue of "but everybody else is doing it ... so why pick only on Mwakyembe?"
Well, Dr. Mwakyembe is not everybody. He is the guy who shot down a sitting Prime Minister on charges of abuse of power for
personal interests at the expense of public interests. In his Richmond report Dr. Mwakyembe recommended that political leaders must choose between politics and business ... and the same guy has the audacity of doing public work in a sector he has vested interests in without declaring them?
Where are his ethics?
Dear Anonymous March 24, 2009 10:04 AM,
ReplyDelete1.You supplied definitions iof COI and PI according to which it was demonstarted thta there was no PI or COI according to your own definitions? Are you changing the definitions now or shifting the goal posts so to speak? Well in this way you will always win!
2. It was Mwakyembe who questioned why TANESCO had not considered buying brand new turbines instead of used Dowans turbines. His research he said taht they were available and within a good lead time - for example KAWASAKI brand, from TEXAS USA- and at a better price than the price TANESCO was proposing to buy the Dowans turbines. He also questioned why even if TANESCO was hell bent on breaking the procurement act or ammending it, it only had the Dowans turbines in mind and not the Agreco or the other company's turbines. Unless you can say with proof that Mwakyembe can benefit from the purchase of Kawasaki or Agreco or other turbines, you cannot say there is COI or POI here.
3.Even if the Power Pool project is 2 to 3 years away to generating power it is still very remote compared to a decison that needs to be made now. Besides Power Pool is on a vastly different scale to the Dowans turbines so there is insignificance here of any benefit that anyone might allege Power Pool satnds to gain from Dowans not being bought. Again you fail to establish COI and PI by your own definitions.
3. So you have abandoned your previous definitions of COI and PI, I presume?Notice is important for your argument. so what are your definitions now? None whatsoever? So for as long as he is looking forward to making money in energy there is COI and PI? The time and place that he is looking forward to making money does not matter. The scale does not matter compared to the scale of the issue at hand? This is intellectual dishonesty on your part now to just wallow around shamelessly making allegations you fail to prove but want to assert nontheless.
4. please address directly the question of the cheaper alternatives proposed by Mwakyembe for which he stands nothing to gain personally. They are brand new, and cost effective credible alternatives to dowans.Mwakyembe actually suggested purchase of brand new turbines- which he said would be cheaper- you seem to haver got so far in this debate and you don't know this!!!!
5. Stakes are high not just in the business in the ethicalsense too. It is shameful to besmirch someone's name without proof.You have been invited time nad again to prove your claims of COI and PI and you have failed.Even by definitions supplied by yourself you have failed.
6. In sum you have failed to demonstrate COI,PI and now you are merely saying that he has interests in the energy sector. I think that is rather loose- what you need to demonstarte is that he has interests in the energy sector of such a nature that constitute Conflict of Intererst, Pecuniary Interest that must be declared. It would be marvellous if you could also demonstarte that specific decisons, arguments made by Mwakyembe or his committee constitute COI or PI.So no proof, no demonstartion, no evidence just mere allegation and insistence.Shame!
Anon of March 24, 2009 12:31 PM
ReplyDeleteI am surprised at your allegation that I have changed the definition of COI and PI.
I think it's obvious you can't comprehend the anticipative and forward looking nature of COI.
And perhaps you are also having difficulties separating pro-Rostam lobbyists from general pro-ethics lobbyists.
But no need to keep arguing. The public and Members of Parliament now know that Mr. Mwakyembe has personal interests in the energy sector so we will be watching him closely.
1.Your definitions are weak as has been demonstrated:
ReplyDeletea)They allow absurd cases to be considered COI or PI and so are themselves absurd.They rest on 'perception' and 'appearnce' which is as much to do with the perceiver as the perceived- even if the perceiver might be committing the fallacy of projection, attributing his own weaknesses/foibles on others because he imagines them having his own moral weaknesses and weaknesses. That is why it is important to demonstrate rather than simply assert that the interests Mwakyembe has are actually conflicting rather than simply could be conflicting.Perceptions are also susceptible to perspective and propaganda (such as we are seeing being currently unleashed by Habari Corporation) and so not objective but very subjective. Surely we must have higher standards than that. So demonstrate my friend, we are waiting for that very patiently. Don't simply assert.
b) But also your definition of Pecuniary Interest is qualified by 'significanc/insignificance'. Now the difference in scale of the envisaged Power Pool and Dowans is radical- to give an example, it is the difference between say 500 million shillings (=Power Pool) and 5,000 shillings (=Dowans). Your definition PI, in its qualification clause, says where there is insignificance of the matter being dealt with then there cannot be PI.They are of a totally different scale, that is where the insignificance,comes in- the difference between chalk and cheese. Yaani mtu anawania laki awe swayed na shilingi! Shilingi ni insignificant.
c)I don't think you have thought through the definitions you supplied and what they imply. They undermine rather than support what you want to assert. Read and think through them again. So if you are not changing your definitions of COI and PI then your definitions actualyy do not support waht you want to say- so you had better think of abandoning them!!
d) Now what about addressing the concrete examples that Mwakyembe proposed as alternatives to renting/buying Richmond/Dowans. Ones which he is has no interest in- unless you have prof otherwise Why not buy brand new and more cost effective Kawasaki turbines from Texas at acheaper price the honourable Mewakyembe has asked and no one has answerd this, not even you, Rostam, Rashid, Ngeleja or New Habari Corporation? Why haven't Agreco turbines and others also readily available in the country also been considered, the honourable MP has further queried and agin no one has yet answered? Are these the questions, pointers to be posed by someone who has Conflict of Interest or who is seeking to benefit from his own energy project by influencing against Richmond/Dowans?? Surely Mwakyembe's proposals and questions here point to him not having COI!!Once again I call on you, please address this question directly.
e)So once again demonstration and not mere repetition of allegations is waht is called for in this case. Otherwise it is simply propaganda and mudslinging that you are engaging in- even if Rosatm is not your friend.That is, you are indepently doing the same as Rostam I am afraid. If you cannot demonstarte why keep on making the same unreasoned claim?
f) Is it to much to ask you to raise your standards above those of the gutter press??
2. Simply having interests in the sector does not constitute Conflict of Interest or Pecuniary Interest. Surely you are not saying that Sir/Madam??!! This would be laughable if that is what your saying and that is why you need a definitions taht say clearly what constitutes COI and PI so we can identify unambiguously the cases that truly merit those labels. You have failed in supplying those thus far. But I am willing to wait and give you another chance to try again.
Herewith my point by point rebuttal:
ReplyDeleteAnonymous said...
Anon of March 24, 2009 12:31 PM
I am surprised at your allegation that I have changed the definition of COI and PI.
REBUTTAL: If you have not changed them then you need to in order to get the conclusions you want that there is COI, PI in Mwakyembe’s case.
I think it's obvious you can't comprehend the anticipative and forward looking nature of COI.
REBUTTAL: Nothing could be further from the truth as to my comprehension. But if you comprehend the meaning of the definitions you supplied, you will realize that Power Pool is a project much bigger- by several fold- than Dowans. i.e Dowans is insignificant in relation to Power Pool and so by your definition there can be no PI ( so this is why you need to change you definition if you still want to cling on to your allegation). But also there is no COI as demonstrated by the fact that Mwakyembe cites examples of alternatives to buying Richmond-Dowans power/turbines that are independent of Power Pool: he cites Kawaski brand new turbines of the same capacity but more cost effective. He also cites, interrogatively, Agreco et al turbines which are equally readily available in Tanzania and asks: “Why on earth have these not been considered- even if TANESCO/NGELEJA/ROSTAM/YOU(?) are so keen to amend the public procurement act and by used turbines? How can Mwakyembe be anticipating personal gain by citing these examples? Why do you not want to answer these points directly despite being asked to do so repeatedly?
And perhaps you are also having difficulties separating pro-Rostam lobbyists from general pro-ethics lobbyists.
REBUTTAL: There is nothing ethical about smearing someone’s name without proof my friend. Proof my friend, proof, demonstration please. Mere insinuation and innuendo will not do- leave that to the gutter press- which I hope you do not belong to. Granted, you may not be pro-Rostam; but then why on earth are you harping on about COI and PI when you have failed to demonstrate your assertion?
But no need to keep arguing. The public and Members of Parliament now know that Mr. Mwakyembe has personal interests in the energy sector so we will be watching him closely.
March 24, 2009 10:25 PM
REBBUTTAL: Simply having interests in the energy sector or any other sector does not constitute COI or PI for an MP serving on a parliamentary committee. Surely you are not saying that? I suggest you had better keep a more watchful eye on the intellectual subversives and the gutter press in our society and those who will assert serious allegations without proof………and your fallacious reasoning.
Mr. anon of March 25, 2009 6:51 AM I suggest you take your own advice and raise your standards.
ReplyDeleteYou are consistently demonstrating inability to comprehend anticipative and forward-looking nature of COI.
COI is NOT about concreteness, it's about possibilities.
You are further failing to separate pro-Dowans lobby from general pro-ethics lobby groups.
You are treating COI in the past sense in stead of looking at future possibilities, which is the reason MP's are required to declare interests beforehand.
Read the definitions I supplied once again.
And if they are weak to you ... well, give us strong ones then.
=============
Here's another interesting development:
March 23 (Bloomberg) -- A group of South Korean investors plans to build a 210-megawatt wind-power farm in Tanzania's central Singida region by 2011 at a cost of $400 million, Chris Incheul Chae, chief executive officer of Good P.M Group, said.
The project, which comprises of 100 wind-generating turbines of up to 60 feet each (18.3 meters), will be located about 150 kilometers (94 miles) northwest of Tanzania’s capital, Dodoma, Chae, said today in an interview at Stone Town in Zanzibar.
Chae’s group has signed a memorandum of understanding to acquire the 500-hectare (1,235-acre) property in Singida from Tanzania’s Power Pool East Africa Ltd., he said. Korean contractors will start construction of the wind farm by year- end, said Chae. In the second phase, the group may acquire 900 hectares of adjoining land and build as much as 1,800 megawatts of capacity, he added.
About 90 percent of Tanzania’s population has no access to power. Peak demand for electricity is about 782 megawatts, compared with a capacity of 570 megawatts, with demand growing at about 15 percent a year, Minister for Energy and Minerals William Ngeleja said March 13.
Source: bloomberg.com
Hello fellows. Nashukuru kwa michango yenu mizuri japo mingine inabore. Mimi kwa upande wangu naona ni vizuri wale wote wanaofikiri kuwa Dr. Mwamkymbe amefanya kosa waonyeshe ni kwa kivipi with supporting facts. Ili kwa wale wasioelewa hivi vitu kwa undani waweze kuelewa. Kwani watz wengi wanapenda kutafuniwa thats why hata ufisadi unatokea.
ReplyDeleteJamaa wana idea nzuri tena kwa kuwasaidia kuna upepo hata kule maeneo ya Same pale upo mwingi mpaka wanawarn magari yanaende pole pole yasije anguka maana ni mkali hasa.
Hawa mafisadi ni wajanja wanataka attention ihamie kwa Dr. Mwakyembe ili waweze kupumua kwani wamekuwa wakifanya hivyo mara kibao.
Hakuna haja ya kubishana issue ya mwakyembe iko wazi kwani hata kama atasema mali hawezi sema ana kampuni iko kwenye makaratasi kinachoangaliwa ni hela uliyoingiza je Jamaa kaingiza kiasi gani?
Kwanini miradi ya wazalendo tunapenda sana kuipinga? Dr. Mwakyembe kasema hana mpango wa kukaa kwenye ubunge milele hivyo anataka hata waweke ukomo. So wakati mradi wao unatakeof atakuwa ametoka kwenye ubunge. Hivyo sioni ajabu. Mbona tunapenda kutafuta umaarufu kwa migongo ya watu?
Namshukuru mchangiaji mmoja ametaja kuhusu waandishi kuwa wataalamu hii inasaidia sana kwenye kutoa habari iliyo sahihi. Mfano waandishi fulani walitembelea daraja la mkapa wakaona expansion joint wakasema daraja limeshaanza kucrack which was not the case. Huku tuendako tuajiri watu wanye taaluma kwenye uandishi ili watusaidie kupeleka habari sahihi siyo huu ukajanja wa sasa. Waandishi ni watu wa muhimu sana nchi hii lakini wakifanya kazi zao vizuri.
ASANTE Mugerezi: ASANTE LAKINI SIJUI KAMA UMESOMA MAGAZETI ‘YA AKILI’ MACHACHE TULIONAYO LEO 25 MACHI 2009. WAPO WAANDISHI WANAOJITUMA NA MWANAKIJIJI KWA MFANO KATIKA UKURASA WA 10 WA ‘TANZANIA DAIMA’ LEO AMEFANYA KAZI NZURI KUELEZA MAANA YA UKINZANI WA MASLAHI AU MGONGANO WA MASALHI KATIKA SHERIA ZA BUNGE NA KANUNI ZA BUNGE ZINAMTAKA MBUNGE AFANYE NINI KUHUSU MGONGANO WA NAMAN HII. KANUNI ZA BUNGE ZINAZINGATIA ZAIDI MGONGANO WA KIFEDHA NA ZINAMTAKA MBUNGE ATANGAZE MASLAHI YA KIFEDHA KAMA ANAYO ILI KUEPUSHA MGONGANO WA MASLAHI UPO KABLA HAJAZUNGUMZIA JAMBO. KANUNI ZA BUNGE ZINAMTAKA SPIKA AZINGATIE UJUZI NA UZOEFU ANAPOTEUA WANAKAMATI WA KAMATI MBALIMBALI ILI WAWEZE KUCHANGIA UWEZO NA UJUZI WAO KATIKA KAMATI HIZO. KWA HIYO KUWA MMILKI AU MWANA HISA WA KAMPUNI HUKU UKIWA MJUMBE WA KAMATI YA BUNGE YA TASNIA ILIYOMO KAMPUNI YAKO INAWEZEKAN KABISA ISIPOKUWA PENYE MASLAHI YA KIFEDHA LAZIMA UTANGAZE PAMOJA NA KIASI CHA MASLAHI HAYO YA KIFEDHA KABLA HUJAZUNGUMZA.MWENZANGU NINAJIBIZANA ANGESOMA MAGAZETI HAYA PAMOJA NA KANUNI ZA BUNGE ANGEGUNDU SI KWAMBA MWAYEMBE HAJAFANYA TOFAUTI NA WABUNGE WENGINE, HAJAVUNJA TARATIBU WALA KANUNI YA BUNGE (ATATNGAZA MASLAHI GANI YA KIFEDHA KAMA KAMPUNI HATA KOLEO HAINA, HISA ALIZONAZO NI ‘AUTHORISED SHARES’TU- YAANI NI HISA ZILIZOTENGWA KWA JINA LAKE NA KIKAO RASMI WA MAPROMOTA WAANZILISHI WA POWER POOL. POWER POOL HAIZALISHI BADO, SHEA HAZIJALIPIWA, POWER POOL HAIKO KATIKA NAFASI YA KUSHINDANIA MKATABA WOWOTE WA KUZALISHA UMEME NA KAMPUNI YEOTE NCHINI SI DOWANS, AGRECO, ASTON, RICHMOND AU NANI SASA MASLAHI YA KIFEDHA YAKO WAPI NA MGONGANO UKO WAPI?? LAKINI WAPI, NDUGU YANGU NINAEJADILIAN NAE ANANG’ANG’ANA ‘KUNA MGONGANO, KUNA MGONGANO!’ BILA KUELEZA UKO WAPI MGONGANO UTADHANI ANAINDIKIA GAZETI LA HABARI CORPOREATION!!!
ReplyDeleteRAIA MWEMA NA MWANA HALISI NAONA PIA WAKO MAKINI SI KWA SWALA HILI TU LAKINI KWA UJUMLA.
Jamaa wana idea nzuri tena kwa kuwasaidia kuna upepo hata kule maeneo ya Same pale upo mwingi mpaka wanawarn magari yanaende pole pole yasije anguka maana ni mkali hasa.
Hawa mafisadi ni wajanja wanataka attention ihamie kwa Dr. Mwakyembe ili waweze kupumua kwani wamekuwa wakifanya hivyo mara kibao.
Hakuna haja ya kubishana issue ya mwakyembe iko wazi kwani hata kama atasema mali hawezi sema ana kampuni iko kwenye makaratasi kinachoangaliwa ni hela uliyoingiza je Jamaa kaingiza kiasi gani?
KWELI LAKINI NDUGU YANGU FIKIRIA UPOTOSHAJI ULIOKWISHA ANDIKWA. TUSIBEWETEKE NA KUSEMA IKO WAZI. TATIZO AFADHALI LINGEKUWA NI KUTOKUELEWA TU; TATIZO KUBWA ZAIDI NI WAPO WATU WENYE NIA YA KUPOTOSHA.HAKIKA NI HATARI, NA MAMBO YAKIHARIBIKA WATAKWENDA KUSIKILIZIA NJE, WALAU NAIROBI, MAPAKA KUPOE KWANZA BONGO
Namshukuru mchangiaji mmoja ametaja kuhusu waandishi kuwa wataalamu hii inasaidia sana kwenye kutoa habari iliyo sahihi. Mfano waandishi fulani walitembelea daraja la mkapa wakaona expansion joint wakasema daraja limeshaanza kucrack which was not the case. Huku tuendako tuajiri watu wanye taaluma kwenye uandishi ili watusaidie kupeleka habari sahihi siyo huu ukajanja wa sasa. Waandishi ni watu wa muhimu sana nchi hii lakini wakifanya kazi zao vizuri.
WENZETU UNAWEZA KUSOMEA CHOCHOTE ALAFU UKAINGIA KWENYE UANDISHI UKIWA KAZINI NA UKAZAMIA KUANDIKA HABARI NA MAKALA YA ILE TAALUMA ULIYOSOMA AU UKISOMA MEDIA STUDIES KAMA DIPLOMA AU DIGRII BASI MARA NYINGI WEWE UTASOMA NA SOMO LINGINE LA KISAYANSI AU SOCIAL SAYANSI AU HISTORIA ILI HATA UKIINGIA KAZINI MAKALA ZAKO ZINAKUWA ZA KITAALAM NA ZINA UZITO. MAGAZETI KAMA FINACIAL TIMES YA WINGEREZA NI KITU HATA MWANAFUNZI WA MASTERS YA BIASHARA INABIDID AKISOME KWA MAKINI KAMA SEHEMEU YA USOMAJI WAKE WA KIANAFUNZI. LEO BADO SISI TUNA FURSA YA KUFANYA HIVI, NA YUKIFANYA HIVI HAITAKUWA RAHISI KUMNUNUA MWANDISHI- NAAMINI KABISA KWAMBA WAPO WAANDISHI AMBAO HAWAELEWI JINSI WANAVYOJIDHALILISHA KWA UPUUZI WANAOUNADIKA KWA WALE WENYE UELEWA. LAKINI TUTAFIKA NA NAOMABA KIPINDI TUNACHOKIPITIA SASA KIWABADILI WAANDISHI MAFISADI VILE VILE.
Once again I opt for a point by point rebuttal, NO GLOSSING OVER, SLIPPING AND SLIDING.
ReplyDelete Anonymous said...
Mr. anon of March 25, 2009 6:51 AM I suggest you take your own advice and raise your standards.
You are consistently demonstrating inability to comprehend anticipative and forward-looking nature of COI.
THERE IS NOTHING SO DIFFICULT ABOUT THIS. THE FACT IS YOU ARE IGNORING YOUR OWN DEFINITIONS NOW AND FOCUSING ONLY ON ANTICIPATION AND POSSIBILITIES.
COI is NOT about concreteness, it's about possibilities.
THE POSSIBILITIES COME IN BY WAY OF DEFINITION, YES; IN YOUR DEFINITION IN PARTICULAR. BUT:
ONE CANNOT SPEAK OF POSSIBILITIES IN GENERAL BECAUSE THEN YOUR UNIVERSE COULD BE INFINITE, POTENTIALLY. THAT IS WHAY I SAID TO YOU ANYTHING IS POSSIBLE AND SO THIS IS SOMEWHAT ABSURD. YOU MUST DEFINE A UNIVERSE OF DISCOURSE FOR COI.
HOUSE RULES IN TANZANIA SPEAK ABOUT DECLARATION OF FINANCIAL INTEREST, IF ANY, IN PARTICULAR BEFORE SPEAKING ABOUT A MATTER ONE HAS AN INTEREST IN. THIS IS THE RULE FOR PARLIAMAENTARIANS ALL PARLIAMENTARIANS- SO AS I SAID MWAKYEMBE CANNOT HAVE SPECIAL RULES, BUT YOU SAID HE SOMEHOW SHOULD BE HELD TO A HIGHER STANDARD, I WONDER IF YOU ARE IMPLYING SPECIAL RULES FOR HIM?? THERE WAS NO FINANCIAL INTEREST SO WHAT COULD HE DECLARE. HE DID NOT BREAK ANY RULES.
PLEASE ALSO NOTE THAT BY TANZANIA HOUSE RULES- AND I SUSPECT STRONGLY OTHER PARLIAMENTS ESPECIALLY IN THE COMMONWEALTH, IAM SURE THE GUYS HERE DIDN’T START FROM SCARTCH WRITING THEIR RULES- CALL ON THE SPEAKER TO APPOINT KNOWLEDGABLE AND EXPERIENCED PEOPLE TO PARLIAMENTARY COMMITTEES- IE KNOWLEDGABLE EXPERIENCED PEOPLE IN AGRIC TO AGRIC COMMITTEE, FINANCE TO FINANCE, BUSINESS TO BUSINESS ETC. IT IS OBVIOUS THAT THERE IS ALREADY POTENTIAL FOR COI HERE BY SUCH A STYLE OF APPOINTMENT, BUT ALSO IF KNOWLEDAGBLE AND EXPERIENCED PEOPLE THEN WHAT QAULITY OF DELIBERATION AND DECISION WOULD YOU EXPECT? SO THE WAY TANZANIAN PARLIAMENT DEALS WITH THIS IS BY DEMANDING DECLARATION OF ACTUAL FINANCIAL INTERST AND AMOUNTS IN CASE AN MP WANTS TO SPEAK ON A MATTER AND S/HE HAS PECUNIARY INTEREST. THE RULES SPECIFICALLY SPEAK OF PECUNIARY INTEREST NOTE.
YOU MAY NOT LIKE THE RULES AS THEY STAND BUT THOSE ARE THE RULES AND THEY WERE OBSERVED BY MWAKYEMBE AND THESE ARE THE RULES FOR EVERY MP. THAT IS WAHY AT SOME POINT I ASKED DO YOU WANT SPECIAL RULES FOR THIS MAN AND IF SO WHY?
You are further failing to separate pro-Dowans lobby from general pro-ethics lobby groups.
THE PRO-ETHICS LOBBY MUST BE HELD TO HIGH STANDARDS OF ETHICS SURELY. WHAT IS WRONG WITH ASKING FOR PROOF OR DEMONSTATRTION OF COI OR BREAKING HOUSE RULES FROM ONE WHO CONSIDERS HERSELF A MEMBER OF THE PRO-ETHICS LOBBY? BESIDES I SAID EARLIER, GRANTED YOU MAY NOT BE ROSTAM’S FRIEND, I’LL EVEN GRANT NOW THAT YOU MAY NOT BE ROSTAM HIMSELF!!!BUT SO WHAT?
BESIDES IF ROSTAM THINKS THERE WAS BREACH OF HOUSE RULES HE CANNOT SORT IT OUT IN THE PRESS IT MUST BE REPORTED AND DISCUSSED IN PARLIAMENT- THAT WOULD BE THE ETHICAL THING TO DO SURELY?
You are treating COI in the past sense instead of looking at future possibilities, which is the reason MP's are required to declare interests beforehand.
PECUNIARY INTEREST IN PARTICULAR IS WHAT MPS ARE REQUIRED TO DECLARE NOT JUST ANY INTERST MY FRIEND. YOU MAY NOT LIKE THE RULES BUT THEY ARE SO FOR THE TIME BEING.
IF YOU READ THE SWAHILI PRESS MAY I PLEASE RECOMMEND RAIA MWEMA 25TH MARCH PG 18, TANZANIA DAIMA 25TH MARCH PG10, MWANA HALISI 25TH MARCH PG 10. THE ENGLISH PRESS IS PARTICULOARLY USELESS ON THIS TOPIC IN MY OPINION.
COI CAN BE SPOKEN OF IN ALL TENSES. WHAT’S WRONG WITH THAT? IT IS NOT ILLOGOICAL OR UNGRAMMATICAL? ELABORATE. PLEAEE YOU WOULKD CERTAINLY NEED TO SPEAK OF IT IN THE PAST TENSE IF YOU WERE TRYING TO ESTABLISH OR PROVE A CASE OF COI,FOR EXAMPLE, WOULDN’T YOU?
“March 23 (Bloomberg) -- A group of South Korean investors plans to build a 210-megawatt wind-power farm in Tanzania's central Singida region by 2011 at a cost of $400 million, Chris Incheul Chae, chief executive officer of Good P.M Group, said”
So where are the possibilities here
Read the definitions I supplied once again.
YOU READ THEM AGAIN. I QUOTED THEM BACK TO YOU FOR YOUR CONVENIENCE.I POINTED OUT THAT YOUR VERY OWN DEFINITIONS SHOW THERE COULD NOT HAVE BEEN PI OR COI IN THE CASE WE ARE DISCUSSING. THERE IS NO WAY POWER POOL COULD HAVE TAKEN OVER CONTRACTS LOST BY DOWANS OR RICHMOND
And if they are weak to you ... well, give us strong ones then.
THAT IS UP TO YOU SINCE YOU CLAIM SOMEHOW THERE IS COI AND PI. I AM SAYING THOUSE RULES WERE NOT BROKEN AND THERE WAS NO COI OR PI EVEN BY YOUR DEFINITIONS. AS AN ADDITION I AM ALSO POINTING OUT PROBLEMS IN YOUR DEFINITIONS.
=============
Here's another interesting development:
March 23 (Bloomberg) -- A group of South Korean investors plans to build a 210-megawatt wind-power farm in Tanzania's central Singida region by 2011 at a cost of $400 million, Chris Incheul Chae, chief executive officer of Good P.M Group, said.
The project, which comprises of 100 wind-generating turbines of up to 60 feet each (18.3 meters), will be located about 150 kilometers (94 miles) northwest of Tanzania’s capital, Dodoma, Chae, said today in an interview at Stone Town in Zanzibar.
Chae’s group has signed a memorandum of understanding to acquire the 500-hectare (1,235-acre) property in Singida from Tanzania’s Power Pool East Africa Ltd., he said. Korean contractors will start construction of the wind farm by year- end, said Chae. In the second phase, the group may acquire 900 hectares of adjoining land and build as much as 1,800 megawatts of capacity, he added.
About 90 percent of Tanzania’s population has no access to power. Peak demand for electricity is about 782 megawatts, compared with a capacity of 570 megawatts, with demand growing at about 15 percent a year, Minister for Energy and Minerals William Ngeleja said March 13.
Source: bloomberg.com
March 25, 2009 10:08 AM
THIS ONLY SHOWS THAT POWER POOL IS STILL A PROJECT AND AT LEAST 3 YEARS AWAY FROM THE FIRST MEGAWATT, SO WHERE WAS THE POSSIBILITY OF COI IN 2005 OR 2006 OR WHEN MWAKYEMBE CAHIRED THE RICHMOND COMMITTEE. REMOTENESS/ WAS IMPORTANT IN ESTABLISHING PI IF YOU REMEMBER IN YOUR DEFINITION. PRODUCTION IS ESTIMATED FOR 2011 SOME WAY AWAY, WAS EVEN FURTHER AWY WHEN WE WERE TALKING RICHMOND.
THIS NEWS ALSO SHOWS POWER POOL (1800 MEGAWATTS) IS ON A DIFFERENT SCALE ALTOGETHER TO DOWANS OR RICHMOND (20 MEGAWATTS?).THE LATTER IS SO MUCH SMALLER, INSIGNIFICANT AND AGAIN ACCORDING TO YOUR DEFINITION WHERE THERE INSIGNIFICANCE THERE IS NO PI.
APPERANCE FEATURES IMPORTANTLY IN YOUR DEFINITION OF COI. BUT I POINTED OUT TO YOU PROPAGANDA CAN EASILY BE WHIPPED UP TO INFLUENCE APPEARANCES- WE ARE WITNESSING THIS NOW WITH THE ROSTAM PRESS (OOPS! HOPE YOU REALLY AREN’T ROSTAM!!)
Kwa kweli kitu kimoja mabacjho muda wote huu hakijazungumziwa ni kwamba mpaka sasa hivi uwezo wa TANESCO ni wa kusambazia umeme asilimia 10 tu ya soko la Tanzania. Only 10 percent of the market is served by TANESCO now.
ReplyDeleteNa hata Dowans, Agreco na Aston zingeweza kuzalisha umeme at full capacity mchango wao ni megawat 40 kila moja au asilimia 2 tu ya mahitaji ya TANESCO. Kwa hiyo TANESCO na umeme wa maji na Dowans na AGRECO na Aston Power bado umeme utakuwa haujawafikia hata asilimia 20% ya soko. Hata Power Pool ingeingia leo sokoni na Megawat hizo 1800 na miundombinu ya usambazaji iliyopo ya TANESCO ikakarabatiwa na watanzania wakaacha kuiba mafuta ya TRANSFORMER bado hata mahitaji ya hata asilimia 35% ya soko yatakuwa hayajafikiwa!!!!
Isitoshe Mkurugenzi Mkuu wa TANESCO alitueleza katika hoja zake za kutaka kununua mitambo ya DOWANS kwamba demand ya umeme inakuwa kwa 15% kila mwaka. Sasa jamani, hizi possibilities za Power Pool kuchukua business opportunities za Dowans na kampuni zingine na kwa hiyo Mwakyembe ana conflict of interest wanazosema humu kwenye blog katika debate hii zinatoka wapi tena katika mazingira haya. What sort of possibilities are these they must be totally fictional possibilities of a Kanumba movie or Shigongo work of fiction!!!
Can someone please explain how in a market whose demand is growing and unmet and whose demand would still be unmet even if TANESCO, DOWANS, AGRECO, ASTON and POWER POOL were to produce at full capacity and TANESCO'S distribution were miraculously to be rehabilitated to 100% how there could be conflict of interest? For heaven's sake it is a growing market where all the players plus the one would be player (POWER POOL) cannot meet demand!!!
Jamani huu ni uhuni, ni journalism na siasa ya kutupotezea muda tu. Na inaonyesha uwezo wa propaganda kuweza kuyumbisha umma ukaweza kuona labda ukaona kama vile kuna conflict of interest wakati hakuna.
Ndiyo maana basi hatuwezi kwa usalama tukategemea definitions za conflict of Interest kumlaani mtu ambazo zinategemea concept kama 'appearance', maana appearance na kitu halisi ni vitu tofauti na mambo ya propaganda yanaweza kufanya kitu kionekane (appear) tofauti na uhalisi(reality) wake..
Apologies Dowans', Aston and Agrec's capacities are 40 megawatts each and not 20 megawatts as claimed earlier.
ReplyDeleteStill each one of them or even the trhree collectively is a far cry from Power Pool's proposed 1800 Megawatts. So the point about insignificance and therefore there being no Pecuniary interest to declared by Mwakyembe, according to the definition supplied by one of our fellow bloggers still applies.
TANESCO currently reaches a mere 10% of the market and demand is growing by some 15% per annum according to the TANESCO MD. Further, Agreco, Dowans and Aston can each supply a mere 2% of what TANESCO's currently needs to distribute or 6% together.
If Power Pools 1800mws were available it would have been 90%. But it is not and by the time those 1800 will be ready in 3 years time the market will have grown by a compounded 15% per annum.
Is it not obvious from the above that we will still have a serious power deficit guys and that we still have one in 3 years time even if Dowans, Aston,Agreco TANESCO and Power Pool (when it starts)produce at full stretch? So how does the question of Power Pool taking away from Dowans business with TANESCO arise?
If it does not arise, then how also can there be conflict of interest in an under supplied market struggling to find enough power producers ??
By the way since, Rostam owns Habari Corporation, Rostam most probably owns Dowans,Habari Corporation has been at the forefront of attacking Mwakyembe and it is now emerging that Rostam also has an interest in another Singida wind energy project ( read Majira 27th March 2009, front page) surely the so called ethical lobby should have been up in arms that Habari Corporation did not declare its intersts ( being owned by a leading player in the energy sector and indeed the Tanzanian economy) of its owner before launching (a savage and as it is now rapidly turning out)attack on Mwakyembe?? The so called 'ethical lobbyist' can still do so now. But where is the ethical lobbyist on this blog, has she cut and run in the heat of the debate? Is it ethical for an ethical lobbyist to be so one sided and to ignore completely and pass over in total silence, totally without comment, the conduct of the orignators of the allegations against Mwakyembe.
ReplyDeleteSecondly, while we are examining our parliament's rules on conflict of interest, is it not also timely to examine rules for the media on conflict of interest? Are there any rules for the media in Tanzania on conflict of interest and what do they say? Or can the media simply demand of others what it does not demand of itself?