Hii ni Bend ya Orchestra Mwanza Carnival ya jijini Mwanza ikitumbuiza katika mashindano ya Mitumbwi ya upigaji makasia katika Mwalo wa Kirumba. Kushoto ni Ally Yahaya ambaye alikuwa katibu wa bendi hiyo akifuatiwa na Beno Villa kiongozi mkuu wa Bendi na wanamziki wengine wakiimba. Kwa sasa Benovilla na Ally Yahaya hawako tena na Bendi hiyo kwani wameanzisha Bendi Mpya ya The Ambassador Band yenye maskani yake huko Igoma Hill Front Bar. Picha na mdau Frederick M. Katulanda
Hii ni Bend ya Orchestra Mwanza Carnival ya jijini Mwanza ikitumbuiza katika mashindano ya Mitumbwi ya upigaji makasia katika Mwalo wa Kirumba. Kushoto ni Ally Yahaya ambaye alikuwa katibu wa bendi hiyo akifuatiwa na Beno Villa kiongozi mkuu wa Bendi na wanamziki wengine wakiimba. Kwa sasa Benovilla na Ally Yahaya hawako tena na Bendi hiyo kwani wameanzisha Bendi Mpya ya The Ambassador Band yenye maskani yake huko Igoma Hill Front Bar. Picha na mdau Frederick M. Katulanda

Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...