toleo la mwanzo la kwanza jamii
TAHARIRI: HUU NDIO MSIMAMO WETU
NDUGU Msomaji, siku ya Machi 31, 2009 , Tanzania kama nchi imeendelea kufurahia uhuru wa kutoa maoni kwa njia ya vyombo vyahabari. Hii ni kwa kuwa na gazeti jipya na huru la ‘Kwanza Jamii’.
Hivyo basi, unalolisoma sasa kwa mara ya kwanza ni gazeti la ‘ KwanzaJamii’. Kama ilivyo kwa jina lake, ni gazeti la jamii, ni gazeti lako.
TAHARIRI: HUU NDIO MSIMAMO WETU
NDUGU Msomaji, siku ya Machi 31, 2009 , Tanzania kama nchi imeendelea kufurahia uhuru wa kutoa maoni kwa njia ya vyombo vyahabari. Hii ni kwa kuwa na gazeti jipya na huru la ‘Kwanza Jamii’.
Hivyo basi, unalolisoma sasa kwa mara ya kwanza ni gazeti la ‘ KwanzaJamii’. Kama ilivyo kwa jina lake, ni gazeti la jamii, ni gazeti lako.
Soma zaidi;
HONGERA MJENGWA MAJJID.UNA UWEZO MKUBWA KWENYE FANI HII.JIHADHARI NA MAKALA ZA KICHONGANISHI ZA BENSON MWAKYANJALA AU MWANAKIJIJI AU LULA MWANA NZELU.JEE LINAPATIKANA ONLINE?
ReplyDelete...Naona timu imekamilika hiyo. Ma-proffesor Kibao! Tunategemea mambo makubwa kutoka kwao..!
ReplyDeleteViongozi wa chama tawala wakisema "wanachama milioni 4...'watakasirika'..." sio wachonganishi, waandishi makini wakituamsha tuliolala huku nchi yote inafilisiwa wanaitwa wachonganishi!!
ReplyDelete