

Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
hicho kiingilio kiko in terms of Tsh, USD, Pound, Euro, Ringgit au? Pls clarify
ReplyDeleteSASA WE MDAU HAPO JUU KWANI HUJUI NAMBA YA PESA IKIFUATIWA NA /- AU /= INAMAANA NI SHILLING HUJAENDA SHULE AMA? EBOOO
ReplyDeleteMay 28, 2009 12:47 PM matatizo yako ni makubwa.unajua lkn unajifanya hujui. US$ 150,000? or RM 150,000= 35m tshs/=
ReplyDeleteJamani kwani kuuliza ni ujinga? mbona unajibu kwa shari? kuna vitu vingine havifundishwi shule au huenda shule zinatofautiana.Wengine tumesomea chini ya mwembe.
ReplyDeleteUnajua mtu anapo uliza swali kutaka kujua kama unalo jibu la kumuelimisha fanya hivyo na sio kumpa majibu ya kashfa shule na uelewa wa mtu tunatofautiana.
ReplyDeletekweli nakubaliana nanyi kwamba uwezo wa mdau kufikiri ni mdogo sana.
ReplyDeletehizo ni fedha za kitanzania, na pia uweunajaribu kuangalia currency exchange rates japokuwa huzitumii,ukiwaunapita barabarani soma mabango ya bureau de change au kwenye home page ya yahoo hapo juu click finance and then exchange rates utapata updates zote.
May 28, 2009 8:48 PM
huyo mdau aliyeuliza kuhusu clarification mnamuonea bure.sasa hiyo 15,0000/-(4 zeros) nayo ni vipi?au naye hakwenda shule?
ReplyDeletesometimes ni vizuri kutoa jibu kwanza alafu ndipo zianze kashfa.wakati mwingine kwa baadhi ya watu ni ngumu kutofautisha kati ya manyunyu na mvua.ama jua na mwezi,ingawa inaweza kuwa usiku ama mchana.pia sometimes utata wa swali huwa haviendani na elimu kwani wakati mwingine mtu hurukia kuuliza swali bila kutafakari ya kile akiulizacho haswa.na pia sio wote wajuao kusoma ama kuandika wanajua alama hizo za tshs.
kumbukeni ktk kunde la panzi,"Baranguru" hakosekani.