Home
Unlabelled
aleluya na neema wameremeta
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Picha nzuri ila washauri next time watu wengine wasipande kwenye huo mfuniko wa manhole kwani design yake haikuangalia uzito wa watu wawili waliobebana na kusabisha concentrated load inayoweza kuvunja mfuniko huo na kuwafanya wadumbukie na sherehe kuingia mchanga.
ReplyDeleteHatujui kama huo mfuniko umewekewa nondo ndani au ni zege tupu, hatari sana.
Dah Jamaa wamependeza sana. Halafu nzuri zaidi hawakuvaa lebo za makoti. Safi sana!
ReplyDeletejamani wachaga mnajulikana ushamba kutwa nzima kuiga vya kwenye TV
ReplyDeleteHongera zenu tele tele. Nawatakia kila la kheri ila mmeniogopesha maana hapo kama pana hatari vile.
ReplyDeleteGood for you young man "anabebeka" and for the lady - I kep up your diet as a bad one would have entailed calling in a weightlifter to help...
ReplyDeleteMalavidavi ya kuwa na reasonable weight. Kidada munaona mambo hayo sio mtu anakuwa mzito kama gunia la sembe!! mnamiso mavituzi!!!
ReplyDeleteAngalieni sana hizo sehem mnazopigia picha jamani. Michuzi alishawahi kupigia picha sehem ya hatari akiwa kwenye meli kuelekea Zanzibar. Wewe nawe na mkeo mmesimama kwenye mfuniko wa****** hivi mnaelewa danger hiyo?
ReplyDeleteharusi nzuri lakini mpiga picha camera yake bomu. Pixels zipo so down...mgepata camera nzuri hayo mpozi yenu baabu kubwa
ReplyDeleteMmependeza sana Hongereni, ila muwe wangalifu na makini katika maisha yenu, msije simama tena mahali hatari kama hapo mliposimama,
ReplyDeleteMungu awajalie maisha ya upendo na furaha,
Je Muosha kinywa aliyesema Wachaga ni washamba, sioni kama kuna kosa kwa hawa wanaopendana. Je wivu, roho ndogo, au ni umasikini wake unamsumbua???????????
hii imetulia sana, hapo kama sikosei ni Morning site Morogoro, inanikumbusha mbali sana enzi zile nikifika mahali hapo na vijana wenzangu kwa ajili ya kula upepo. ni Mahali pazuri sana hapo, ukikaa hapo mji wote wa Morogoro unaonekana. sasa najiuliza hawa maarusi walifikaje huko maana sisi tulikuwa tunaenda kwa miguu maana njia ya gari haikuwepo. au siku hizi imechongwqa barabara?????? aliyefika Morning site hivi karibuni anisaidie kwa hilo.
ReplyDeleteanabebeka...ndo la muhimu
ReplyDeleteila mnatishia usalama wenu,msisimame apo juu tenaaaa!!
asante
Mijitu mingine bana...wewe umeshaambiwa ni Bukoba sasa Morogoro inatoka wapi!!
ReplyDeletehahah ufuniko wenyewe umesha cracked long time lakini powa zenge lina nondo na ukianguka hufi powa tu utaogelea na siku hizi huku morning side kuna cable car babake kupanda buku kumi tu we unaeuliza njoo vekesheni ujionee na bonge na restoranti juu ya mlima dola mia tu per nite u welcome
ReplyDeleteHebu muangalie hiyo milima, mnapanda huko mkianguka Insurance mnazo? Maeneo mengine ni hatari jamani
ReplyDeleteHawa nduguzangu wamependeza mno,ila hapo waliposimama kwa kweli yaani mwili umenisisimuka kwa hiyo hatari niliyoiona.
ReplyDeleteMkulima-Kijijini Gezaulole
Huyu Bwana harusi yuko Bomba sana basi tuu labda wa mkoani au kujijini, ila angekua Dar huyu au Ulaya ni bonge la handsomeboy , hongera bibie kumpata kijana mzuri .
ReplyDelete