asante wadau wa washington kwa taswira hizi na salamu. mie pia nimewaumbuka sana na nashukuru kwa ukarimu, ucheshi na furaha mlionionesha. bwana awe nanyi daima, inshallah tutaonana tena Mungu akipenda



Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 12 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 07, 2009

    Jump naona uko kila sehemu ndugu yangu..yaani wewe ni true bongo celebrity. Hashim akiingia NBA tena mzee...da tutaenea tena ndugu yangu? Much Love Jump...love you like a brother.....NM

    ReplyDelete
  2. AnonymousJune 07, 2009

    Michuzi, pingili za shingoni hizo, mambo yako naona mswano! Lishe ya kutosha, bia za kumwaga, kiti mo..... nono no no. Hiyo siyo yenye.
    Mmetoka mchicha!
    Endeleza libeneke mheshimiwa!

    ReplyDelete
  3. AnonymousJune 07, 2009

    Mhh!! kaka michu bwana na mambo ya mikonoz!!! haya bwana langu jicho tu mie

    ReplyDelete
  4. AnonymousJune 07, 2009

    na wewe unapenda konozzzzzzzzzzzzzi

    huonagi kwingine?

    mdau wa mbagalazzzzzzzz a.k.a makombora wenyewe tumeyazoea

    ReplyDelete
  5. AnonymousJune 07, 2009

    HAPO HATA MIMI NINGEKULA KONOS. AAH ACHA TULE KWA MACHOS

    ReplyDelete
  6. AnonymousJune 07, 2009

    wewe uliyevaa miwani ulishawahi kusoma azania na kuishi mtwara?

    mdau.
    n.b jina lako unitwa nani?

    ReplyDelete
  7. AnonymousJune 07, 2009

    konoz imetulia

    ReplyDelete
  8. AnonymousJune 07, 2009

    nini maana ya nimewaumbuka?????

    ReplyDelete
  9. AnonymousJune 08, 2009

    JP siyo wa Washington DC lakini..

    ReplyDelete
  10. AnonymousJune 08, 2009

    jamaniii
    mkuu wa nanihii,,ivi siwezi kuwa mkeo basi ata wa pili?

    nna ugonjwa na wanaume wa style iyo ya apo pichani!!

    plizzz say u lavu me!!

    haki ya nani michu?

    ReplyDelete
  11. AnonymousJune 08, 2009

    Hi jump hivi huyo wa karibu yako ni sizya eh!du nimekumbuka forest hill miaka ile.kila la kheri kaka.

    ReplyDelete
  12. AnonymousJune 09, 2009

    Kaka Michu ulikuwa umefanya roaming au ulikuwa unatumia simu ya JP Jump aroung, jump jump?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...