Bw. Wallace H. Shundi na mai waifu wake wakila pozi kusherehekea miaka 50 ya kumeremeta
katika mnuso wa nguvu ulioandaliwa na watoto wao kwenye ukumbi wa Russian Culture Centre hapa Dar hivi karibuni, ukiwa umetanguliwa na misa maalumu katika kanisa la Mtakatifu Albani Maharusi wakikata keki maalum
maharusi wakiwa na watoto, wajukuu, ndugu, jamaa na marafiki katika misa ya kuadhimisha miaka 50 ya kumeremeta
keki maalumu ya kumeremeta kwa Bw. na Bi. Shundi.



Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 8 mpaka sasa

  1. Al MusomaJuly 11, 2009

    Is this the former Police Commander - Semmy and Peter's dad?Yes, that was in Musoma and who knows when?

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 11, 2009

    Hongereni bwana na bibi Shundi, hakika Mungu ni wakushukuriwa saana tena sana. Natumai watoto wenu pia wanaiga huu mfano maana ndoa za siku hizi hatari tupu. Mungu awazidishie upendo.

    ReplyDelete
  3. AnonymousJuly 11, 2009

    Aisee huyu mzee kafanana na Mkapa......, si utani!!

    ReplyDelete
  4. AnonymousJuly 11, 2009

    wow you're so blessed !!! You're still look young and energetic. May God continue to bless your marriage.

    ReplyDelete
  5. AnonymousJuly 11, 2009

    Mungu azidi kuwabariki miaka 50 sio mchezo, wengine hata 10 inatuwia migumu. Hebu wazee wetu mtupatie tips vijana wenu kwani mwenzenu mie naona ndoa chungu kama muarobaini. Vile sitaki mtu wakinipangia maisha yangu na pia nataka usawa kama napika lunch nataka apike dinner.

    ReplyDelete
  6. AnonymousJuly 11, 2009

    Duh 50 si mchezo, kuna wenzetu wa smal house wakiona mafanikio haya kama wajinyonge, wao ni haters wakubwa wa maendeleo ya wanandoa

    ReplyDelete
  7. AnonymousJuly 11, 2009

    Hongereni,inatia moyo. Mimi ndoa yangu ina miaka 14,lakini ni taabani.Tunaburuzana tu.Labna huyo mwanamke nae alivumilia. Hebu na mimi nivumilie angalau iendelee kusonga mbele.

    ReplyDelete
  8. AnonymousJuly 11, 2009

    mie naona wa kutupa darasa ni huyo mama manake kavumilia mengi na kuyaunganisha hadi kufikia miaka 50.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...