inafurahisha kuona siku hizi vijana wajasiriamali wamechangamka kiasi cha kupeleka bidhaa zao kwenye maonesho ya sabasaba katika kujitangaza. hawa ni wadau wa Bongo Street Wear ambao lebo yao inashika chati kwa chati kutokana na vionjo wanavyoandika juu ya flanazzz
baadhi ya vionjo katika flanazzz za Bongo Street Wear
baadhi ya wadau wanaotumia bidhaa za Bongo Street Wear
lebo yao
contact zao





Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 6 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 05, 2009

    I see u striker Anderson,Mtaki, Moudy na Don mzee wa kuchazita, am so proud of u guys, keep it up...i will be joining u soon, mdau Birmingham

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 05, 2009

    hongereni vijana, endelezeni ubunifu ila msikopi chata, mfano hiyo ya POWA ni sawa na ya PUMA!

    ila big up, keep hustlin...

    ReplyDelete
  3. AnonymousJuly 05, 2009

    hiyo 24/7/365 mitafutie hati miliki haraka sana, maana kampuni kubwa kama Slazenger, Puma, Adidas n.k sijaona 24/7/365 ktk T-shirt zunguka yangu yote ulimwenguni.

    Mdau
    Kiparamoto
    Mgeni-Nani-Mbagala DSM

    ReplyDelete
  4. AnonymousJuly 05, 2009

    LEBO NZURI SANA, MNAJITAHIDI SANA; ILA JITAHIDINI KUWA NA T-SHIRTS ZENYE UBORA (QUALITY). SIO T-SHIRT UNAVAA MARA 2 INAPOTEZA RANGI NA KUSHUKA MPAKA KARIBU NA MAGOTI.

    QUALITY, QUALITY, QUALITY, QUALITY, QUALITY, QUALITY IS THE KEY.

    ReplyDelete
  5. AnonymousJuly 05, 2009

    Good job.Tafuten kitu kitakachoonyesha TZ ili kupeperusha bendera ya TZ maana watu wa nje hawajui kama Bongo ni TZ.
    Thanks

    ReplyDelete
  6. AnonymousJuly 06, 2009

    Don where is my top???.....me mnitengenezee ya "bima street" or kijiweni "Aifola".....
    big up bros.....Mohd wazidi kuchana.....what r u guys eating???
    ur sis wa Tallahassee, FL......

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...