twanga pepeta wakishiriki mashindano ya bendi za muziki wa dansi mwaka 2001 katika ukumbi wa vijana social hall dar. toka wakati huo hakijasikika kitu hadi hii leo na bingwa bado ni walewale sikinde ngoma ya ukae. iko haja ya kufufua mashindano hayo ambayo yalikuwa na changamoto kubwa kwa bendi kujiweka fiti katika kila idara
twanga pepeta wakishiriki mashindano ya bendi za muziki wa dansi mwaka 2001 katika ukumbi wa vijana social hall dar. toka wakati huo hakijasikika kitu hadi hii leo na bingwa bado ni walewale sikinde ngoma ya ukae. iko haja ya kufufua mashindano hayo ambayo yalikuwa na changamoto kubwa kwa bendi kujiweka fiti katika kila idara

Kuna umuhimu sana kwa wadau wa mziki kufufua na kuanzisha harambee ya kuzipandisha chati bendi zetu hapa bongo,kwani ni sisi watanzanian wenyewe ndio tutakao upandisha chati mziki na wanamziki wetu
ReplyDelete