Home
Unlabelled
rais karume azindua 'zanzibar' ya precision air
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Wewe Mh. hiyo sio simulator ni ndege ya kweli utagonga shauri yako
ReplyDeletemhwshimiwa kidume ana test zali! safi sana, huyu jamaa ana personality kali sana, namfagilia sana anaonekana pia mstarabu fulani japo sijui ya kwake. ila mtu poa sana.mimi sio mwana siasa wala siigagilii kabisa.
ReplyDeleteTruely speaking Air tanzania inabidi kujifunza toka kwa hawa jamaa wasione aibu juzi juzi waliponyang'anywa leseni hawa Precisionair waliomba ku-merge na Air tanzania wakakataa soo ni kipindi Air Tanzania inafufuka hawa jamaa watakuwa wamesha-expand kiasi ya kwamba itakuwa vigumu kwa Air Tanzania ku-catch up!
ReplyDeletemhe naona ungechemka kidogo ungemfuata baba aliko....ooh hiyo sio pikipiki.
ReplyDeletehata hivyo unalazimika kuangalia zaidi hali ya kiwanja cha ndege kuliko kuzindua ndege maana sikubaliani na wanaouita uwanja wa ndege wa kimataifa.
ku testi?
ReplyDeleteuwo uwanja c wakimataifa, na uyu jamaa kishalewa apa, tena vibaya vibaya, akili yake inampa yupo kwenye pikipiki, hana personality yyt uyu, cc ndo tunaemjua, mshenzi km ao washenzi wengine
ReplyDeleteOooh kumbe Mzee mzima aweza rusha dege!
ReplyDeleteHiyo ndege ni 'mpya' kweli au mpya kwa Zanzibar? Precision Air wana ndege nzuri anyway, napenda huduma zao kuliko AirTZ. Wazidi kujitahidi, la maana ni kuwa na usafiri salama na wa uhakika. uwe wa Zenj au Bongo mamoja tu. Ogopa ndege za Iran, FirePower, Uk
ReplyDelete