Mkurugenzi wa kampuni ya Business Machines Tanzania Limited (BMTL), Deen Nathwani (kulia), akitoa maelezo kwa wanahabari kuhusu matumizi ya mashine mpya ya kuhesabia noti na kutambua noti bandia aina ya Glory Sorter mara baada ya kuizindua katika hafla iliyofanyika jijini Dar es Salaam juzi jioni.
BMTL pia ilitambulisha mashine za kutambua noti bandia za kigeni na Coin. Kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa BMTL, Ketul Patel na Mkurugenzi wa kampuni hiyo, Ramakrishnan Kirubakaran.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Hizo ndio biashara, na habari za ku-comment WAMATUMBI mmekalia ndafu, ndafu tu sijui nini.
    Gabacholi

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...