Home
Unlabelled
vijimambo vya nathan mpangala
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
MichuziBlogV2Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Jamani sio kwamba nabagua,ila popote wanapokuwepo hawa jamaa kuna shida. Hawa jamaa wanaasili ya ubaguzi, na dharau. Sijui kwanini serikali inaendelea kuwapa nafasi ilihali wanajua tabia zao. Wanalipa mishahara midogo, wanahakikisha wewe ni masikini wakati wote.
ReplyDeleteJamni tuliofanya kazi walipo hawa jamaa, tunahitaji sifa ya uvumilivu. Lakini kama wameshindwa huko kwakokwanini wanakuja kutudhalilisha kwenye nchi yetu wenyewe.
Utasikia Jumaa,kafanye hiki, juma kafanye hiki,hujamaliza kafanye kile mwishowe unaanza kuzarauliwa, wewe hujui kazi, wewe...Utumwa unarudi nchini kinyemela.
Aksante kwa kuni tafsiria TRL maana siko nyumbani kwa muda mrefu nafahamu TRC.Nakupongeza kwa katuni ya kueleweka maana kuna katuni huwa hazieleweki.
ReplyDelete