










Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Yaani huyo Mmaori kama ukikutana naye unaweza ukasema ameamka nazo na kusahau kuvaa surali.
ReplyDeleteSijui ma-Chalii wa kule AR watakuwa wanasemaje wakimuona. Labda itakuwa hivi;
..."Aisee Chali 'angu nimekutana na kituko pale hotelini. Wale wazee wana hela sijawai ona, wanatandika maji mpaka wanajisahau kuvaa ati. Na wenzao wala hawastuki Jo, wanaendelea tu time zao.
Wewe unasema hamna pesa nchi hii, ni wewe tu ndiyo hauna hela. Nenda hotelini ukaone"
Mheshimiwa Swan wa Bermuda ametoka haswaa!
ReplyDeleteJK akiiga hii itakuwa burudani tosha
Yethu na Maria na Yosefu, huyo baba anafanana na marehemu Mzee Lauwo alikuwa akivaa hifyo hifyo! Duniani ama kweli wawili wawili!
ReplyDeleteSIAJABU JK nae anatingaga mapigo kama hayo kinyemela akiendaga nchi ambazo hakuna wakuda wengi wabongo kama srilanka huko au bermuda kwenyewe nk...
ReplyDeleteANYWAY 800 WABUNGE IS TOOMUCH KUWAALIKA BWANA AU WABUNGE HAWA SIO WA MATUMIZI KAMA WABONGO?MAANAKE KAMA NI KAMA HAWA WETU BASI MWAKA TUMEUMALIZA KWA HASARA HUU2009
Said yakub fanya mazoezi mwili unakuzidi.Kwani uko bungeni au BBC idhaa ya Kiswahili?
ReplyDeleteNjoo Tanga uchukue kiti Mwanangu.
Yep, Dk. Slaa naye yupo, safi saaana. Na pale kwenye vocha za misosi pale mhhh! SIjui hawatapiga bao kweli!??? Maana imeshakuwa ndo asili yetu tena.
ReplyDeleteKATIKA PICHA NA 7, HUYU AFISA WA BUNGE SI NDIYE SAID YAKUB ALIYEKUWA AKIISHI HUKU UK PIA AKIFANYA KAZI BBC LONDON AU MACHO YANGU TU? WADAU NAULIZA
ReplyDeleteUtamaduni wa Bermuda unaruhusu mavazi ya koti na kaptura fupi. Kwao ni jua kali na kisiwani, Waingereza walipokuja kuwatawala wakaamua kuvaa bukta na koti wakiwa kazini na mpaka leo wanavaa hivyo na wako chini ya malkia.
ReplyDeleteSafi sana hii ni kama jamaa yangu mmoja wa huko Musoma ni mkali wa mapensi na makoti yake pengine ana damu ya kiBermuda!
ReplyDeletei love this HOT red shorts
ReplyDeletehe is a man!!above all