The group arrived in the United States for their U.S.-sponsored “U.S.-Tanzania Basketball Coaches Exchange.”
The exchange, provided by the American people, runs from September 28 through October 13, 2009 in Washington D.C.; and the states of Virginia; Maryland; and Texas.
Msaada kwenye tuta kaka Michuzi.
ReplyDeleteKuna wakati umeshawahi kutuletea wadau tovuti ya vijana wataalamu wa ku-design michoro na picha (paints) za nyumba, je waweza kuwabandika tena? tafadhari saidia kaka.
mdau Dar
Poa mkuu!
ReplyDeletelakini tulikuomba majina yao kabla ya kusafiri uka-mute.
still tunaomba majina na mikoa waliotoka.
Big Mama (Evarist), Frank Simkoko na Bahati Mgunda ndani nyumba - Inapendeza sana :)!
ReplyDeleteAsante
Wadau karibuni tupige boksi, huku wajanja huwa hawarudi bongo hata kwa bakora. Mliofikia DC mtafuteni Albert Matesso ambaye nae alikuwa kocha huko Bongo na sasa tuko nae hapa tunakula nae halal meat( Teh Teh !!!!!!!!!!!). Nina uhakika watrudi watatu au viongozi peke yao.
ReplyDeleteMwenye shida ya mahali pa kuanzia maisha, aweke namba yake ya simu hapa nitamsaidia.
weka picha wakiwa ndani ya jengo.
ReplyDeleteDid they visit inside or outside the building ?
ReplyDeleteWadau wa mujini
ReplyDeleteHawa makocha wapo hoteli gani,ningependa kuwasalimia nipate harufu ya nyumbani.
Duuh!? Hakuna sura hata moja ya Kange, Zonga au Abdallah Aboud!
ReplyDeleteMagazeti-Analonga,
ReplyDeleteKange, Zonga, and Abadalah wameanzisha mchezo na sasa bahati mgumba naye hupo states....tumecheza naye sana pale Ghmkhana enzi ya miaka ya 80's na 90's. Bahati Mgunda tuwasiliane pnhigula@yahoo.com
Makocha wa basket? Keep it clean,sio wote walio ktk hii picha wana any dalili ya kuujua mchezo huu.Tangu "Ngongoti" a.k.a Hashimu aanze kujulikana basi imeshakuwa taab
ReplyDeleteDunia haisimami na kikapu pia akisimami usitegemee kila siku kuwaona watu wale wale maendeleo ni pamoja na kupata sura mpya na zaidi za makocha ili kuinua kiwango nawatakia mafanikio ktk ziara yenu hasa makocha toka nje ya dar ili kuinua kikapu nchini
ReplyDelete