
Habari kamili
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Hivi Dr Kairuki alishafariki kumbe. That's new... Nilikua sifahamu jamani
ReplyDeleteMshanifahamu sasa??? wakimbizi wa CUF ughaibuni mpo?? Watu ndio wamepatana. Safi sana.
ReplyDeleteWafuasi halisi wa Nyerere ni Hamad na Karume katika top brass ya uongozi wa nchi hii kwa sasa. Wengine wote wababaishaji tuu. Wasomi hebu jaribuni kutoa dira ya nchi kutoka kwenye mfano huu mahiri ya wazanzibari hawa?
ReplyDeletePhD ya kuiba kura hiyo.
ReplyDeletemdau wa 06.24,acha choyo,ukimbizi ughaibuni ulikwisha zamani na watu wana vitabu vyekundu kazi kwako wewe unae endelea kuchagua mafisadi huku haupo na kule haupo,CCM Chukua Chapo Maapema,ishi kivyako na wacha watu waishi kivyao,pole sana roho mbaya haijengi,
ReplyDelete