iliyofanyika tarehe 21 December 09. Pichani Bw. Abdallah toka bodi ya
michezo ya kubahatisha akisimamia droo hiyo.
Washindi wane tayari wamejinyakulia zawadi zao na kula sikukuu ya
krismass kwa furaha. Washindi hao ni;
1. Elias Edward Nundwe (46 yrs) wa Mbozi, Mbeya ameshinda trekta lenye
jembe
2. Denis Amos Mushi (35 yrs) wa Kiboroloni, Moshi ameshinda Trekta lenye
jembe
3. Jonson John Rugumamu (35 yrs) wa Kimara kona, Dar ameshinda Mtaji wa
kuanzisha baa.
4. Leonard Paulo (53 yrs) wa Igoma Mwanza ameshinda Mtaji wa kuanzisha
baa.
Washindi wote watakabidhiwa zawadi zao mwezi Januari 2010.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...