Mtandao mpya umefunguliwa kwa ajili ya kuleta habari tofauti (muziki, matukio, mitindo, utamaduni, burudani na kadhalika) kutoka Zanzibar na Pemba. Nao ni:
www.zenjiflava.com
Kwa wale ambao wanataka kutuma habari zao zinazohusu Zanzibar na Pemba ili ziwekwe kwenye mtandao, naomba mtumie barua pepe hizi: info@zenjiflava.com au zenjiflava@hotmail.com
Kwa wale ambao wanataka kupiga soga (online chat) huku mkicheki habari mbalimbali kwenye tovuti basi mnabidi mjiunge kwanza. Mkiangalia kwenye mtandao, hapo juu kulia mtaona majina ya watu mbalimbali waliojiunga ambao wako LIVE wanapiga soga, ukigonga katika jina basi utaweza kuongea nao.
Kwa wale ambao wako Facebook, mnaweza mkajiunga nasi vilevile: facebook.com/zenjiflava
Ahsante Sana
www.zenjiflava.com
Kwa wale ambao wanataka kutuma habari zao zinazohusu Zanzibar na Pemba ili ziwekwe kwenye mtandao, naomba mtumie barua pepe hizi: info@zenjiflava.com au zenjiflava@hotmail.com
Kwa wale ambao wanataka kupiga soga (online chat) huku mkicheki habari mbalimbali kwenye tovuti basi mnabidi mjiunge kwanza. Mkiangalia kwenye mtandao, hapo juu kulia mtaona majina ya watu mbalimbali waliojiunga ambao wako LIVE wanapiga soga, ukigonga katika jina basi utaweza kuongea nao.
Kwa wale ambao wako Facebook, mnaweza mkajiunga nasi vilevile: facebook.com/zenjiflava
Ahsante Sana
www.zenjiflava.com
-----------------------
Globu ya Jamii inatoa pongezi za dhati na hongera kwa waandaaji wa libeneke la Zenjiflava ambalo sio tu litaleta mabadiliko na kutupasha mengi yahusuyo visiwa vya karafuu bali pia hii hatua imechelewa sana. Hivyo kazeni buti, acheni kutambaa simameni na muanze kukimbia ili tufaidi mambo ya Zenji.
HAPPY NEW YEAR
-Michuzi
kitu cha akili au bao la kisigino.
ReplyDelete