Liyumba akiingia Mahakamani leoAliekuwa Mkurugenzi wa utumishi na utawala wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT) Amatus Liyumba (kulia) akijadiliana jambo na wakili wake Bw. Majura Magafu kabla ya kesi yake kuanza kusikilizwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi, Kisutu leo.Liyumba akiingia katika Chumba cha Mahakama
Home
Unlabelled
liyumba kizimbani tena leo
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
That's what we call "the positive approach".The guy has nothing to worry about as he has pay his political contributions/donations to the administration.
ReplyDeleteaskari wanane wanamlinda mtu mmoja, tena hao ndio tunaowaona kwenye picha wengi waliokuwa hawapo hapo sijui ni wangapi. hivi kweli kulikwa na haja ya kuwepo wote hao pale?
ReplyDeleteau ndio ule mtindo ule ule wa zamani? pakichezwa yanga na simba askari wote huvaa sare zao na kuelekea uwanjani japokuwa hawako shift ili wapate kuona game bure?
Bw. Liyumba pole kwa huu mtihani lakini ninaamini utashinda.
ReplyDeleteUamuzi wako wa kutetewa na Bw. Majura unaonesha uko makini sana.
(US Blogger)
toka mwanzo nilijua hii kesi ilikua haina nguvu. kwanini wamemueka huyo bwana muda mrefu rumande. huu ni uonevu mtupu.
ReplyDeleteMoney talks..bull shit walk!
ReplyDeleteThe Tz gorvernment has no grounds to put a case on Liyumba wanatapatapa tu.Liyumba yuko jela jela politically na kwa nguvu za state tu,everybody knows that.
ReplyDeleteuu ni upotevu wa pesa za umma ili watu wakidhi matakwa yao binafsi. Kama mmekanyagana miguu huko mitaani kwanini kulipiza kisasi kwa kdi ya wananchi?
ReplyDeleteHIYO NDIO BONGO YA WENYEWE BWANA
ReplyDeleteWAMEMSHIKA KWA SPEED 200 YANI KWA NGUVU ZA GESI YA PEPSI NA MDOGO MDOGO WATAMUACHIA
USIFANYE MCHEZO NA MAMBO YA NOTI WANA JAMII MONEY TALK
HAPO NENDA WEWE ULIEIBA KANDAMBILI UTACHEZEA KIFUNGO
AU KAJARIBU KUIBA TAA YA GARI YA KIGOGO FULANI UTAFUNGWA MPAKA UKITOKA UJUWE UMEZEEKA
BONGO SHERIA INAFATA WATU SIO WATU WANAFATA SHERIA
WATU WANAIBA MABILIONI WAKATI WANANCHI WANAKUFA KWA NJAA MAGONJWA WENGINE HAWANA UWEZO WA KULIPIA ADA ILI KUPATA ELIMU
KILA GOTI LITAPIGWA SIKU HIYO IKIFIKA. PARAPANDA ITAKAPOLIA