Marehemu Julius F. Mwinchumu

Yesu akamwambia, mimi ndimi ufufuo na uzima. Yeye aniaminiye mimi , ajapokufa , atakuwa anaishi; naye kila aishiye na kuniamini hatakufa kabisa hata milele (Yoh 11:25-26)


Unakumbukwa na mpendwa Mkeo na Mwanao, Wazazi, Kaka na Dada zako pamoja na Ndugu, Jamaa na Marafiki

Misa Takatifu ya kumuombea Marehemu itasomwa Jumamosi tarehe 10 Aprili 2010 saa 3 (tatu) asubuhi katika Kanisa Kuu la MT Albano

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. will always miss u!!!!!!! may GOD make it possible for us to remember you in the best of ways.
    fatmah mvungi
    malaysia

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...