Matukio ya uharamia ya utekeji nyara wa meli bahari ya Hindi karibu na Tanzania, unaofanywa na maharamia wa Kisomali, yanazidfi kupamba moto,
Baada ya ile meli ya Uingereza kuwatimua wiki iliyopita, na meli nyingine kuvamiwa majuzi, leo meli ya Mafuta ya Ufaransa imevamiwa.
Kwa mujibu wa ripota wa kipelelezi wa Globu ya Jamii, Balozi wa Ufaransa atazungumza na Waandishi wa habari kesho Saa 6:30 mchana jijini Dar akisindikizwa na mabalozi wa Uingereza, Ujerumani, Uholanzi na Jumuiya ya Ulaya.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 26, 2010

    Hii inanikumbusha pale US Blogger alipomuita John Mashaka political pirate.

    US Blogger original yuko wapi jamani?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...