Mkurugenzi wa Uwekezaji na Maendeleo ya Sekta Binafsi wa Soko la Pamoja la Mashariki na Kusini mwa Afrika (COMESA) Dkt Chungu Mwila akielezea kwenye mkutano 45 wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (ADB) jinsi mpango wa ruzuku ya mbolea kwa wakulima nchini Tanzania ulivyowasaidia wakulima kuongeza uzalishaji wa mazao mbalimbali. Wengine ni Mkrugenzi wa Idara ya Kilimo wa ADB Aly Abou-Sabaa(kushoto) na Afisa Sera wa Shirika linalojulikana kama Alliance for a Green Revolution in Africa lenye makao yake nchini Kenya Dkt Augustine Langyintuo(kulia)
Kamishna Idara ya Fedha za Nje wa Wizara ya Fedha na Uchumi ya Tanzania, Ngosha Magonya akichangia mada mjini Abidajan nchini Ivory Coast juu ya nchi za Afrika zinavyoweza kusaidia kuchangia ruzuku ya mbolea kwa wakulima kwa ajili ya kuleta mafanikio katika sekta ya kilimo.
(picha na Tiganya Vincent, Abidjan.)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 26, 2010

    Jamaa Zungu nini?! ana bonge la cheni!!!!!!!!!!!!!!!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...