Shikamoo Michuzi,
Ninadhani haujambo wewe pamoja na family yako.
Ninaomba kuuliza, hivi huu wimbo nitaupata wapi?
embe dodo embe dodo
imelala mchangani
kwa huba na mazoea
uwe wangu milele
Nilitoka kwako juzi
nikitaka kukusabahi
mwenzio kanieleza kwamba hayuko
katoka nikauliza kenda wapi
kanijibu hajui
vyema nikipita vichochoroni
nikakuta ukinywa chan'gaa
Umekwisha potea
Umekwisha potea
wapotea mtoto mzuri
kwa kunya changaa
Lola kolola mama kolola kolola
Asante
Mdau V.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 10 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 26, 2010

    wewe mdau wacha kutuyeyusha kumbe unaujua kuuimba sasa unautafutia nini,au ndio unauza nyago

    ReplyDelete
  2. AnonymousMay 26, 2010

    Google Bongo5 uangalie zilipendwa utaukuta humo.

    ReplyDelete
  3. AnonymousMay 26, 2010

    Mdau ungejua tu nina CD kamili itabidi unitafute kama upo USA nitakutumia copy ila itabidi utume gharama za shipping and handling
    Niambie upo wapi mdau ni wimbo wa dakika 11 huo
    Ni mimi DJ

    ReplyDelete
  4. AnonymousMay 26, 2010

    ingia google andika tu embe dodo baasi utapata nyimbo zote hadi tazama ramani utaona nanihii

    ReplyDelete
  5. AnonymousMay 26, 2010

    Huu wimbo na zengine katika album ya zilizopendwa kutoka kwa bendi ya Carnival ya kule Nairobi Kenya ni nzuri sana. Niambie uko wapi nitakutumia details ya vile unaweza kuupata. Tuma maelezo ulipo hapa man_ofstyle@yahoo.com

    ReplyDelete
  6. AnonymousMay 26, 2010

    Huo wimbo nadhani ni wimbo Uyoga Band zamani walikuwa wanajulikana kama "Them Mashrooms" maskani yao jiji la Mombasa. Hivyo kama una Ndugu Tanga au Hata Dar ni Rahisi kuzipata CD...

    ReplyDelete
  7. AnonymousMay 26, 2010

    Nenda mwenge kwa jesse au ton wakubanie!

    ReplyDelete
  8. SIKILIZA KITU HIKI HAPA... ACHANA NA WADAU WA HAPO JUU HAWALIFAHAMU VIZURI HILI SONGI...

    http://www.eastafricantube.com/media/3988/Zilipendwa___Embe_dodo/

    ReplyDelete
  9. AnonymousMay 26, 2010

    kama huwezi kuandika mdau peke yake then put your full name coz unafanya watu wote wenye majina yaanzayo na "V" tufikiriwe ndio tumetuma hii kitu.

    ReplyDelete
  10. AnonymousMay 27, 2010

    HUO WIMBO MI NINAO ILA JINSI YA KUMPATA HUYO MUHITAJI NDIO SIJAJUA ILA MPE E-MAIL YANGU ILI NIJUE NITAMSAIDIAJE AMBAYO NI abdallahmasoud@hotmail.com NIKO DAR NATUMAI SHIDA YAKE ITAKUWA IMEKWISHA NA HATA AKITAKA ZA KINA DAUDI KABAKA NA WAKENYA WENGINE AMBAO WALIKUWA WAKIIMBA TWIST NA RHUMBA

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...