Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. La hawla wala quwata!
    Hotsy tatas zipo nusu nje kabisa!

    ReplyDelete
  2. AnonymousMay 13, 2010

    matangazo mengine bwana mh!! kaazi kweli kweli hapo ndio utajuwa kweli wabongo ni kiboko kwa vishawishi vya ngono

    yani tangazo la party haliwezi kupendeza bila kuweka picha ya kutamanisha mambo ya ngono

    tuwe mahodari katika kuchombeza mambo ya kujilinda na magonjwa na sio kushawishi watu katika mambo ya ngono

    party unaweza kuitangaza kwa kuweka picha ya mwanadada alievalia vazi la kitamaduni lenye maadili na nchi zetu na sio lazima kuweka tangazo kama hilo la mdada aliewacha matiti nje na utamanishi wa ngono

    mdau wa mahakama kuu ya dunia nawakilisha.

    ReplyDelete
  3. AnonymousMay 13, 2010

    Je wangeweka ndito wa kimangati ungeswmaje?.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...