Mwandishi Habari mwandamizi Godfrey Odonyo(katikati) akitangaza leo jijini Dar kwa waandishi wa habari juu nia yake ya kugombea Jimbo la Rorya kwa tiketi ya CCM . Wengine katika picha ni Martin Owuor (kulia) na George Godfrey (kushoto)
Picha na Tiganya Vincent MAELEZO, Dar

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 9 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 25, 2010

    Manahabari, hivi ili jimbo utawza kweli na majina makubwa Kama John Mashaka, Philemon Sarungi, Lameck Airo na Prof. Monyo wameshajitosa? Kila la kheri bwana. Lakini jok ma osekao fom go josenti malit jatelo
    wuod-kamageta

    ReplyDelete
  2. AnonymousJune 25, 2010

    huyu jamaa ni kodi tu, vibaraka wa yohana nabii mashika. anajifanya kuweka wapambe, mashaka janja yako tunnajua kampeni zako ni janja za nyani mkuu, watu wako tayari wako Rorya, walianza kampeni hata kabla ya muda unaoruhusiwa

    ReplyDelete
  3. Jamani bungeni kuna nini? Kila mtu anataka kugombea ubunge.Mungu wangu weeee turehemu sisi wapiga kura.

    ReplyDelete
  4. AnonymousJune 26, 2010

    Jaluo Kaseno diwani wa Kitunda mbona sikusikii? Nilitegemea ungetangaza nia tayari. Jitose mheshimiwa. Roho yangu inaniambia wewe ndiye mbadala kwa Sarungi. Kijana nenda usiogope.

    ReplyDelete
  5. AnonymousJune 26, 2010

    Nasikitika maadili ya uandishi wa habari hakuna. Kumbe huyu bwana ni muumini wa siasa za ccm kwa muda wote huo hadi akaonesha kutaka kuwa mbunge. Maana yangu ni kwamba, asingeweza kuiandika CCM vibaya kwa vile na yeye yumo humo humo. Mwandishi hapaswi kuwa na itikadi moja ya kisiasa atakuwa subjective kwenye reporting. Waandishi wengi wa habari wameingia mtegoni na kuacha taaluma yao njia panda.

    ReplyDelete
  6. AnonymousJune 26, 2010

    dawa ni kupunguza Mshahara wa wabunge

    ReplyDelete
  7. AnonymousJune 26, 2010

    MICHUZI: Huyu bwana sio Odonyo ni OBONYO. HUYU BWANA KESHAFANYA KAZI DAILY NEWS NA TBC LAKINI MBONA KOTE KAACHA??? ATUELEZE SABABU KWANI TUNASIKIA KOTE ALIKOPITA KULIKUWA NA MAMBO FLANI HIVI AMBAYO YEYE BINAFSI IANAPASWA KUYAWEKA WAZI KAMA KWELI ANATAKA KUTUMIKIA WANANCHI WA RORYA. LAKIN NAMTAKIA KILA LA KHERI KATIKA MAPAMBANO HAYO MAGUMU KULIKO KAZI YA UANDISHI WA HABARI AMBAYO AMEI.........
    WANAU MNAOMJUA ONONYO MALIZIENI

    ReplyDelete
  8. AnonymousJune 27, 2010

    Bwana Obonyo, hilo jimbo ni either la Mashaka John au la Sarungi. au ndo watu wawili wanaokubalika sana huko Rorya

    ReplyDelete
  9. AnonymousJuly 17, 2010

    Wana Rorya naomba kujua je yule Peter Owino Wa Shirati anagombea au vipi?, kwani nasikia anampango huo kama ni kweli je anatjitangaza lini.

    Owuor

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...