Mwanamuziki ambaye pia ni mpiga gitaa maarufu aliyewahi kuwa Mshindi wa pili wa Bongo Star Search mwaka 2008, Rogers Lucas akilicharaza gita lake kwa hisia kubwa usiku huu katika tamasha la ZIFF linaloendelea katika viwanja vya ngome kongwe,kisiwani Zanzibar.
Msanii wa Hip Hop toka nchini Marekani,Spark Boogie akiapafomu baadhi ya nyimbo zake katika tamasha la ZIFF usiku huu,ngome kongwe.
Msanii wa Bongo Freva,Sultan King akifanya vitu vyake jukwaani usiku huu.
Baadhi ya vijana wa kikundi cha sarakasi kiitwacho Stone Town wakionesha umahiri wao wa kucheza sarakasi aina ya Capoera katika viwanja vya ngome kongwe usiku huu.

Kikundi cha muziki wa asili toka jijini Dar,Tatu Robo wakilinogesha tamasha la ZIFF.
Home
Unlabelled
burudani katika tamasha la ZIFF
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
haya ndo mambo yenye akili,mnakuwa na matamasha ya utamaduni kama hivi sio ndombolo ya zaire ilojaa bongo
ReplyDeletesiku moja nataka sana nihudhurie hili tamasha
keep the good work organizers