Wapambe wa wagombea wakirindima kwa shangwe nje ya viwanja vya mwenge sekondari mara baada ya msimamizi mkuu wa uchaguzi huo Parseko Kone kutangaza washindi wa nafasi za ubunge tiketi ta UWT ambapo Mh. Martha Mlata alishika nafasi ya pili.
Mmoja wa wananchi wakimpongeza Diana Chilolo
mara baada ya kutangazwa mshindi wa kwanza jana usiku.


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 30, 2010

    SASA HAWA NI TAYARI WABUNGE AU INAWABIDI WAENDA KUSHINDANA KITAIFA DODOMA?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...