Wananchi wa Masama wakisimama barabarani kuutaka msafara wa JK usimame kwa muda wakati akitokea Kibosho kuelekea Hai leo katika siku ya Kwanza ya ziara yake ya kampeni mkoa wa Arusha
Wananchi wakimshangikia JK wakati anapita akitokewa Kibosho kuelekea Hai
Kinamama wa Hai wakimkaribisha JK uwanja wa Bomang'ombe
Umati wa wakaazi wa Hai ukimsikiliza JK leo uwanja wa Bomang'ombe
JK akisalimia wananchi Masama.





Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 11 mpaka sasa

  1. eeeeeeeeeeeeh!!

    ReplyDelete
  2. hawa wananchi wa vijijini wakishapewa tshirt, kanga na kofia utawaona uwanjani lakini tusubiri tuone tarehe 31st oktoba. kwa kibosho nakubali ccm ila jimbo la hai ni chadema

    ReplyDelete
  3. JIMBO LA HAI NI MALI YA CHADEMA, WANANCHI WAMEKUJA TU KUSHANGAA KAMA KAWAIDA YAO LAKINI KURA TAYARI WALISHAAMUA NANI WA KUMPA.

    ReplyDelete
  4. YAANI SASA NIMECHOKA KABISA KILA SIKU NIKI-INGIA MICHUZI BLOG NI HABARI ZA CCM TU, HII KWELI NI BLOG YA CHAMA.

    ReplyDelete
  5. michuzi blog yako imegeuka blog ya ccm. kila siku unapoteza wapenzi wanaotembelea kama ulikuwa hujui basi ndiyo hivyo. unapoteza watu wengi sana.
    mi nadhani bado unaweza fanikiwa hata bila kujikomba kwa ccm. ukana mahala see

    ReplyDelete
  6. ankali mimi vichwa vya habari za kikwe bloguni huwa navikubali sana.

    JK Aingia Mkoa Wa Arusha Kwa Kishindo
    JK apagawisha
    wananchi wapagawa kumlaki JK
    JK funika bovu
    mamia kutoka upinzani wajiunga mapinduzi
    JK Akonga Nyoyo Mkoani Kilimanjaro
    Ridhiwani Kikwete Avunja Makundi Lindi
    JK Aiteka Moshi Leo

    sijui katarushwa au katapotezewa!!?? aah lkn kama vipi poa

    ReplyDelete
  7. Moshi inaleta sura kidogo katika mambo ya kampeni. tofauti na maeneo mengine. hapa tunaona watu wazima ndo wengi. Kwingineko naona ni vijana wadogo wengi zaidi na watoto ndo wanahudhuria mikutano ya kampani. hongereni wachaga kwa kujitokeza kuwalaki wagombea.

    ReplyDelete
  8. msameheni kaka michuzi jamani na yeye binadamu pia anatafuta rizki haweze kuilisha familia yake kama nyie.

    ReplyDelete
  9. Michuzi hana ujanja kwani ni mwajiriwa wa serikali ya CCM. Posho za safari analipwa na CCM hivyo lazima aendelee kujikomba kwao. NAJUA HUTOCHAPISHA HII COMMENT LAKINI UKWELI UMEUPATA!

    ReplyDelete
  10. Hivi nyie Anon mnafikiri kuletewa picha humu ni suala la kukurupuka? Mnapoambiwa kuwa CCM imejipanga kiorganaizesheni na kimkamkati mnafikiri nini.. Alaa!!Mnataka Michuzi awapigie kampeni kwani hii kazi ya kanisa? Mbona kule JF mko CHADEMA? Sasa shida iko wapi. Ukitaka leteni picha zenu tuzione hapa. Mnalia?? Inauma?? Eti Michuzi mbona hutuletei? Waambieni na nyie watu wenu walete picha la hilo lijibaba lenu mwizi wa wake za watu hili tuzione. Mtu mwenyewe he is not even photogenic aagh. No charisma no mvuto. Sasa angalia lisura lake halafu maneno yaliyojaa ghadhabu na hasira anavyofoka mithili ya gharika. No jamani. He is not impressive at all. Wimbo ni wa mafisadi mafsadi. Kumbe anasahau kuiba mke wa mtu ndiyo ufisadi wenyewe. Ukijulimsha na nguo zake za kijeshi. Nikiwa mpiga kura napata picha ya wanamgambo wa Ilala wanavyowanyanyasa wamachinga.

    ReplyDelete
  11. nshimimana aka dumisaneSeptember 17, 2010

    Ankal, ningetoa ushauri kwamba, kila mwisho wa wiki prefferably sunday evening unatoa post most ambayo in picha za wiki nzima za kampeni.

    maybe, maybe not hapo. nitajaribu?

    = = =
    Buffalo,
    New York

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...