Home
Unlabelled
JK aitikisa babati,mbulu na manyara
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Ile ahadi ya kuwaleta Real Madrid vipiiiii?????
ReplyDeleteAchana na real madrids bwana, tuangalie mambo ya maana...... Tuletee Chicago Bulls.
ReplyDeleteBy Mdau Mbije,A
JK alitoa ahadi ya kuileta Real Madrid mwenyewe, akitueleza wananchi umuhimu wa ziara zake za ng'ambo. Ndo kusema tulipigwa changa la macho au?
ReplyDeleteHayo mambo ya Chicago Bulls hajawahi kuahidi, akifanya sawa asipofanya sawa lakini la Real Madrid ni ahadi yake na ahadi ni deni.
Mheshimiwa JK, Sisi wana-CCM wa Mbulu tuko na wewe na CCM licha ya shinikizo kutoka kwa baadhi ya wachungaji wetu wa makanisa yetu. Udumu umoja wa Tanzania, udumu umoja wa Watanzania, kidumu Chama cha Mapinduzi!!!!!!!!!!!!!!!!!!
ReplyDeleteGarmii Halisi.
Mmmmmh! Kweli Tanzania hatuna Rais; labda kama mwaka huu tutafanya mabadiliko!
ReplyDeleteWewe wa Mbulu acha uongo na kujipendekeza kwa Mh. Jk hakuna lolote utakalofaidika na CCM Mafisadi hawana huruma kama Huruma ni juu ya watoto wao tu jipendekeze uone wanavyokunyonya damu 2010- 2015, utanikumbuka kwa ujinga wako wa kuwanyima kura watu Makini amba ni wapinzani CHADEMA ndiyo Chama sahihi kwako Mbong.
ReplyDelete